Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,804
- 12,250
Tena wanaunganishwa bila kulipia nguzo ili mradi wako jirani na nguzo ulizolipia.Mkuu Mundaliku uko poa kabisa, mbaya na kichekesho ni kwamba unalipia nguzo 2 na unawalipa ths. 600, 000/- na zaidi alafu (then) nguzo hizo wanakuambia sio zako bali ni za TANESCO na wanaanza kuzitumia kwa kuwaunganishia wengine wakati nguzo hizo nimenunua mimi, sasa hapo nani anaibiwa au ANADHURUMIWA?