kalikalanje
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 226
- 285
Samia ndiyo hajitambui na ndiyo maana anateua watu kama Makamba na Maharage kuendesha wizara nyeti ya NishatiHilo swali muulize Samia mwenyewe kigeugeu, enzi za mwendazake alisema 27000 ndio mpango mzima, leo kakamata ofisu yeye anasema 27000 ni usanii haitoshi
Laiti Samia angejua jinsi anavyotukera na teuzi zake hasa za Makamba na moga yake Maharage,,, mnaosoma mwambieni Samia anaupiga mwingiii