Churchboy
Member
- Aug 2, 2020
- 58
- 29
Naanza kwa kumshkuru Aliye Juu, Muumba Wetu mwingi wahuruma na mwenye upendo nas sisi.
Kilio chetu jaman hawa dada zetu muda mwingine unakuna labda nipo single kabisa sina mtu wala hata mmoja lakin ukija kwa dada zetu wanatuona niwaongo kuwa et sababu Yao ya msingi kabisa wanayokwambia et wew hauwezi ukakosa mtu halafu utanipendaje mim na wakat mim sina hadhi ya kuwa na wewe, halafu ntakuwa na presha tukiwa kwenye mahusiano kwasabu watu wengi wanakutaka.
Sasa wadada sio wote sisi mahendsome tuna wanawake wengi wengine tumetulia hatunaga hizo mambo na tunapowaambia kuwa tupo single mtuamini, na kujenga mahusiano mazur sio mara utanipa presha mara utakuwa na mtu tu unanidanganya hakuna kitu kama hicho, sisi ni watu kama wengine tunateseka sometimes na iz sura zetu tunaonekana tunawanake wengi kumbe maskin ya mungu tupo single tuuu af unapewa sifa ambazo sometimes huna. Wadada mtuamini tukiwa tunahitaji tuwe nanyinyi.
Maoni ruksa!!!
Kilio chetu jaman hawa dada zetu muda mwingine unakuna labda nipo single kabisa sina mtu wala hata mmoja lakin ukija kwa dada zetu wanatuona niwaongo kuwa et sababu Yao ya msingi kabisa wanayokwambia et wew hauwezi ukakosa mtu halafu utanipendaje mim na wakat mim sina hadhi ya kuwa na wewe, halafu ntakuwa na presha tukiwa kwenye mahusiano kwasabu watu wengi wanakutaka.
Sasa wadada sio wote sisi mahendsome tuna wanawake wengi wengine tumetulia hatunaga hizo mambo na tunapowaambia kuwa tupo single mtuamini, na kujenga mahusiano mazur sio mara utanipa presha mara utakuwa na mtu tu unanidanganya hakuna kitu kama hicho, sisi ni watu kama wengine tunateseka sometimes na iz sura zetu tunaonekana tunawanake wengi kumbe maskin ya mungu tupo single tuuu af unapewa sifa ambazo sometimes huna. Wadada mtuamini tukiwa tunahitaji tuwe nanyinyi.
Maoni ruksa!!!