mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 5,623
- 7,392
Zuzu lingine hili hapa jamanJafar Musa Assad kwanini aite wabunge mazuzu? Hivi kweli wabunge wetu ni mazuzu? Haya ni matusi makubwa sana.
Aitwe haraka bungeni, na ahojiwe na asulubiwe haraka, hii itatia heshima kwa watu wengine kuheshimu bunge letu.
Musa kwanza sio jina lake, kaiba jina alifeli itakuwa huyu huko shuleni, akaacha jina lake Jafar.. Pia ahojiwe hilo jina la Musa kapataje? Vetting upya ifanyike plz.
We achana na jina lake jibu hoja zuzu wewe