fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Ni mazuzu tu,sijui hata Yana fanya nn bungeni.
Assad ni shujaa na haogopi kusema ukweli,ilikua hivyo Kabla na wala hakuhofu kibarua na marupurupu yake hata Sasa,hebu mkamskilize na ludovick Otouh alivyohojiwa juzi ,ameshangaa watuhumiwa wa escrow kuachiwa na fedha zimechotwa ni za umma,Nani wa kuhoji Zaid ya hilohilo bunge ambalo 7years ago walisimama kidete fedha zirudishwe na hazikurudi na wao wapo kimya,Ni mazuzu tu
Assad ni shujaa na haogopi kusema ukweli,ilikua hivyo Kabla na wala hakuhofu kibarua na marupurupu yake hata Sasa,hebu mkamskilize na ludovick Otouh alivyohojiwa juzi ,ameshangaa watuhumiwa wa escrow kuachiwa na fedha zimechotwa ni za umma,Nani wa kuhoji Zaid ya hilohilo bunge ambalo 7years ago walisimama kidete fedha zirudishwe na hazikurudi na wao wapo kimya,Ni mazuzu tu