Mahakama nchini Afrika ya kusini wamezuia serikali nchini humo kununua condom millioni 11
zilizotengenezwa china.
Kwa mujibu wa gazeti la Beeld la nchini Africa kusini Limeeleza kuwa condom hizo ni fupi sana
Na wananchi wa nchi hiyo hawataweza kuzitumia.(Gazeti la mwananchi leo)