Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,226
Kwani wanasiasa wa sikuhizi wanazo huko upstair.wanachukua mambo ya media na kwenda kupoteza mda kujadili fununu.Kwa hiyo kwa mara ya kwanza Bunge na serikali walijadili "Tetesi"?
Kwani wanasiasa wa sikuhizi wanazo huko upstair.wanachukua mambo ya media na kwenda kupoteza mda kujadili fununu.Kwa hiyo kwa mara ya kwanza Bunge na serikali walijadili "Tetesi"?
mkuu kwani hujasikia barua kapeleka katibu mkuu kiongozi kwa ofisi ya spika?
Akina Mbatia walitaka kujichukulia umaarufu kwenye jambo hili. Hongera Mahakama kwa kuweka wazi
We mwanamke huwa unatia kinyaa hata kwenye mambo ya msingi unaongea utumbo........ Jirekebishe ndugu yangu khaaaa
Hakuna huo utaratibu wa
kukufundisha wewe kuongoza Bunge, hivyo kama kuna barua
imetoka mahakamani kwa jaji fulani naomba iwekwe mezani ili
tumjadili huyo jaji, kama barua hiyo haipo basi tuendelee
na shughuli zetu, alisema Lissu ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu
wa Kambi ya Upinzani.
Hakuna huo utaratibu wa
kukufundisha wewe kuongoza Bunge, hivyo kama kuna barua
imetoka mahakamani kwa jaji fulani naomba iwekwe mezani ili
tumjadili huyo jaji, kama barua hiyo haipo basi tuendelee
na shughuli zetu, alisema Lissu ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu
wa Kambi ya Upinzani.
Wamekanusha tena kuwa Shyrose hakupigana kule Kenya, lakini hawakueleza kwanini alilala lumande. Ni mwendo wa kukanusha tu. Bado kidogo watasema kuwa singasinga Harbinder hahusiki IPTL.
Sijui nani atatolewa kafara...
wabunge wa upinzani wapuuzi wao kazi yao ni kuzusha uongo usiokuwa na maana acheni yapuyange yamezoea kupuyanga kwa uongo.