Mahakama yaamuru Mbowe akamatwe mara moja

Kwenda au kutokwenda mahakamani, siyo alama ya mtu kuwa organised au dis-organised.


Bila kujua any more facts beyond speculation za hapa JF, hivi hatuwezi kufikiri kuwa huo unaweza kuwa mpango wa kuliweka hili suala la Arusha kwenye headlines za ki-taifa na ki-mataifa tena?

Jaribu kufikiri, nini kitaleta muamsho mkubwa wa hili suala la Arusha katika kipindi hiki cha kuelekea Bunge la budget?

Jaribu kufikiri msisimko utakaokuwepo wakionyesha magazetini na TV, Mwenyekiti wa Chadema na Mkuu wa Kambi ya Upinzani akiwa kapigwa pingu na kushushwa kwenye karandinga Arusha?

Jaribu kufikiri nini kitakumbushia 'ahadi' za WM Pinda katika kushughulikia suala la Arusha, na kauli za majibu yake kwa Lema, na jitihada za Spika kuzima hoja hizo?

Jaribu kufikiri namna itakavyokoleza uzito wa suala la CCM/Chitanda Arusha, na kuwaamsha 'mbwa' waliolala?

Wakati mwingine katika nchi nyingi zenye sheria za ki-dhalimu (sisemi kuwa Tanzania ni mojawapo, lakini mwingine akisema sitampinga!), mara nyingi msuguano dhidi ya sheria unakuwa na uzito na muono mkubwa kuliko utii wa sheria hizo.

Angalia mifano ya South Africa, Zimbabwe, Malawi, Tunisia, Libya, Misri, Sudan, India (wakati wa Gandhi), USA (wakati wa MLK), Kenya (wakati wa Nyayo), India, Ireland (wakati wa NRA), Burma, Uganda, na kadhalika.
Asante Kiungani nafikiri kama Mtazamaji hataelewa maana ya kuwa organised hasa kwenye mambo ya siasa basi kuna tatizo, kwenye siasa kuwa organised ni pamoja na kutokubaliana na sheria zilizopo huwezi kila siku kwenda mahakamani kusikiliza kuahirisha kesi kama hawana ushahidi kesi ifutwe kama wana ushahidi kesi ianze kusikilizwa, Hongera Mbowe kwa kitendo hiki.
 
Asante Kiungani nafikiri kama Mtazamaji hataelewa maana ya kuwa organised hasa kwenye mambo ya siasa basi kuna tatizo, kwenye siasa kuwa organised ni pamoja na kutokubaliana na sheria zilizopo huwezi kila siku kwenda mahakamani kusikiliza kuahirisha kesi kama hawana ushahidi kesi ifutwe kama wana ushahidi kesi ianze kusikilizwa, Hongera Mbowe kwa kitendo hiki.
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif
 
Huyu ndio kiongozi Mkuu wa kambi ya upinzani Bungeni, halafu ndio Mwenyekiti wa Chadema Taifa, anakuwa muhuni hivi je raia wa kawaida watakuje? Mbowe ebu heshimu sheria ya nchi, mambo yako ya kihuni peleka huko Bilicanas

He is right...... all we gonna be there for him!!!
 
Nasisitiza,jaribio lolote la vyombo vya usalama la kumkamata mh mwenyekiti wetu,hatutakubali,hatutakubali,tutapambana,na tutashinda.kimsingi hii kesi ni batili tangu mwanzo,na amri hii ni batili pia
 
Kama kuna kitu cha kipuuzi ambacho CCM wanaendelea kuwaudhi watanzania na kuwatia hasira ni hii kesi ya Arusha, hakika hii inaendelea kufanya umma uielewe CCM ilivyo mafisadi wa uchumi wa taifa na hata uhai wa raia wake upo mashaka kama CCM itaendelea kuwepo hivyo.
 
Huyu ndio kiongozi Mkuu wa kambi ya upinzani Bungeni, halafu ndio Mwenyekiti wa Chadema Taifa, anakuwa muhuni hivi je raia wa kawaida watakuje? Mbowe ebu heshimu sheria ya nchi, mambo yako ya kihuni peleka huko Bilicanas

Kavae angalau chupi kwanza. Ni kweli ni kiongozi Mkuu wa kambi ya upinzani Bungeni, halafu ndio Mwenyekiti wa Chadema Taifa. Hajawa muhuni; kwanza subiri akamatwe au atoe utetezi wake. Uhuni unatoka wapi kama si wewe mhuni na avatar yako ya uchi. Mbona JK hatumiwi warrant wa kukamatwa kwenye kesi ya Mahalu?
 
Huyu ndio kiongozi Mkuu wa kambi ya upinzani Bungeni, halafu ndio Mwenyekiti wa Chadema Taifa, anakuwa muhuni hivi je raia wa kawaida watakuje? Mbowe ebu heshimu sheria ya nchi, mambo yako ya kihuni peleka huko Bilicanas

Kwan ni uhuni kutohudhuria mahakamani. Acha ujinga wewe. Mbona Kikwete ameshindwa kuapia mahakamani, anataka kutuambia naye ni Mhuni?
 
hivi huyo hakimu anajua majukumu yake? ni muhimu kuacha kupoteza muda wa watanzania kuwatumkia umma huu, kwani kesi yenyewe haina kichwa wala miguu ni siasa tu. kwanini wasiwafungulie kesi wake walioua? kila siku kesi inahairishwa sema lini kesi itasikilizwa ili wote wawepo baada ya kupoteza muda! onyesha hii ni professional yako bdala ya kuwa mtumwa wa mafisadi. Tanzaia itajengwa na wale wote wenye moyo wa kujituma na kujitoa kwa dhati wala sio MAFISADI!
 
Suala la kujadili hapa ni kanuni:

Je, kanuni zimekiukwa? Sheria zimefuatwa? Hoja za Mbowe kutofika zimesikilizwa?

Hata suala la kisheria naona bado wasomi wanalijadili kishabiki tu.

As for Judiciary system, we have no confidence with your move. The truth is that it takes alot of gut to even do the so-called selective justice.

So if you will be able to do a selective justice and do it well, you can as well do a total justice well

tatizo la nchi yetu ni story kama hizi
is time for action maswali na mambo mengi , what your point?
 
Sheria inasemaje kuhusu kumkamata mbunge? Au kiongozi wa opposition? Je mahakama iliyotoa hiyo warrant of arrest ipo sahihi katika mamlaka yake?
 
Ndugu Wana JF,

Hakimu kutoa arrest warrant sio jambo geni wala sio issue kuubwa na sio lazima Mh. Mbowe akamatwe, kinachotakiwa ni kuwasilisha utetezi kwa nini yeye au mdhamini wake alishindwa kufika mahakamani.

Nakumbuka wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu october 2010, Endrew Chenge ambaye ni mbunge wa bariadi marufuu kama mzee wa vijicenti alikuwa anatakiwa kuhudhuria mahakamani kwenye kesi yake ya mauji lakini hakuweza kuhudhuria mahakamani kwa sababu JK alikuwa jimboni kwake anampigia kampeni siku hiyo

Hakimu Sundi Fimbo alitoa arrest warrant kwamba Endrew chenge akamatwe kwa kutohudhuria mahakamani na kudharau mahakama! sisi sote mashahidi, je amri ya mahakama ilitekelezwa? kama alivyoagiza hakimu sundi fimbo? Chenge hakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kutohudhuria mahakamani kwani alionekana jukwaani na JK akimpigia kampeni! Je ni kwa nini chenge hakukamatwa na ni sababu ipi ilimlidhisha hakimu Sundi Fimbo na ku withdraw arrest warrant wakati ni kweli chenge alidharau mahakama na kuona kampeni yake ni muhimu kuliko kuhudhuria mahakamani?

Nitashangaa sana kama hakimu Magesa atatumiwa kisiasa na kupuuza utetezi wa bwana mbowe au mdhamini wake wakati kuna watu kama Endrew Chenge ambae ni AG mstaafu na anaijua sheria vizuri alipuuza mahakama na hakimu fimbo let him go unpunished, Uwezo wa hakimu kufanya maamuzi ni pamoja na kutumia busara mbowe ana majukumu mengi ya kitaifa ikiwa pamoja na kujiandaa na bunge la bajeti yeye akiwa kama waziri mkuu kivuli bungeni. Hivyo ni matumaini yangu hiyo arrest warrant will not hold water for the sake of court credibility.
 
Wakamatwe kwa kosa gani tena wewe jaji? Mmepewa orders na kikwete kuwaweka viongozi wa cdm ndani sio. Fanyeni hizi njama tuone kama hatutawaweka nyie jela. Hii kesi alitakiwa kikwete awekwe ndani na kada wake fake mkuu wa polisi. Alieuwa wananchi kwa kuwapiga risasi ni nani? Alietoa order ni nani? Aliekuwa na silaha mkononi wakati wa maandamano ni nani? UN na dunia itammaliza kikwete mwacheni ajaribu mbinu za Mubarak Tanzania.

Kupotezeana muda na harakati za kumwondoa kikwete ikulu. Kikwete hata ufanyaje unaondoka ikulu kabla ya 2015 na wote mafisadi mtaishia jela. Magesa nafikiri huna akili timamu wewe, you guys need to stop immediately to use justice system as political tool.
 
Ushauri wa bure.


Asije akatokea mtu akatekeleza hii amri ya kumkamata huyo mwanasiasa. Uganda ni Uganda na Tanzania ni Tanzania.


Na kwa Jaji; hebu punguza kiwewe cha madaraka na ujaribu kutumia busara walau kidogo bana! Kwanza waTz ni watu waliotulia, wanazingatia zaidi michango ya harusi na kupanga mitoko ya Ijumaa. Hamna haja ya kuwatibua waanze kufikiria mambo ya siasa.
 
kesi yenyewe haina kichwa wala miguu, hongera Mbowe kutokuhuduria, Endelea na majukum yako makubwa tuliokupatia
pia nimefurahishwa na bajeti ya kampi ya upinzani... jiandae na bunge bana

hakimu mwenyewe na hao waendesha mashitaka sina imani nao
Kumtukana Hakimu pia ni kosa la jinai kama hukubaliani na uamuzi wake njia sahihi ni kuukatia rufaa katika ngazi ya juu. Mbowe anaweza kweli akawa na shughuli muhimu iliyomzuia asifike Mahakamani lakini taarifa lazima ipelekwe Mahakamani.

Hii inaonyesha hata akija kuwa Rais kama mnavyomtaka atakuwa tayari kufuata utawala wa sheria?

Au anataka kutuambia hatambui taratibu za Mtuhumiwa kufika Mahakamani?

Tuache ushabiki wa kijinga kwa hili halijakaa vizuri mpaka hapo tutakapopata maelezo mengine na naamini Mbowe atakuja na maelezo ya kumsafisha.
 
Ushauri wa bure kwa CDM: msiingie katika mitego ya CCM na vyombo vyao vya dola. Tunajua kwamba CCM wanajaribu kuwakasirisha ninyi ili mfanye maamuzi yasiyo na busara. Msiingie katika mtego huo. Mara zote ili kumshinda yule ambaye anafanya makusudi ya kukasirisha ni kujifanya kwamba wewe hujakasirika. Kesi hii ina makusudi ya kuwapotezea muda CDM ili wabunge wenu wasihudhurie vikao vya kamati na vikao vya bunge na hivi bajeti ipite kiulaini. Msije mkashangaa kwamba mahakama itapanga ratiba ya kusikiliza kesi siku ambazo bunge litakuwa busy na vikao hasa siku za kujadili hoja za maana. Ndivyo walivyofanya juzi juzi wakati hati ya viongozi wa CDM inatolewa ninyi CDM ndiyo mlikuwa katika vikao vya uchaguzi wa BAVICHA.
 
Siasa mchezo mchafu jamani? Ukitaka kuchunguzwa hadi uvunguni mwa nyogo yako basi ingia siasa. Na ukianza ujeu ndiyo mpaka mwisho hutoko humo. Wataimba na hizo kesi at the end wote wako barabarani wanacheza kiduku kesi inaisha bila wao kwenda. Usicheze na Pesa, kama Yesu aisalitiwa kwa pes! BASI.
 
huyu ndio kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, halafu ndio mwenyekiti wa chadema taifa, anakuwa muhuni hivi je raia wa kawaida watakuje? Mbowe ebu heshimu sheria ya nchi, mambo yako ya kihuni peleka huko bilicanas


crap!!!!
 
Back
Top Bottom