Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA YATUPA HOJA ZA LIPUMBA KUMTAKA JAJI KIHIYO KUSIKILIZA SHAURI :
MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA imeipa ushindi Maombi ya Bodi ya Wadhamini ya CUF chini ya Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika shauri Namba 43/01/2017 (From Civil Application No.23/2017) kuhusu kumkataa Jaji Kihiyo kusikiliza shauri la msingi tajwa hapo juu. Shauri hili ndilo linalohoji uhalali na mamlaka ya Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis Mutungi kumrejesha Lipumba katika nafasi ya Uongozi ndani ya CUF baada ya kujiuzulu na kukubaliwa kujiuzulu kwake na Mkutano Mkuu wa Taifa wa CUF uliofanyika katika ukumbi wa Blue Pearl, Ubungo Plaza Tarehe 21 August, 2017.
Jaji Musa Kipenka amekubaliana na hoja za Mawakili Wasomi wa CUF Halfani Daimu, Juma Nassoro na Hashimu Mziray walizozitoa Mbele ya Mahakama ya Rufaa.
MAAMUZI HAYA YANAIPA NAFASI MAHAKAMA KUU KUENDELEA KUSIKILIZA SHAURI HILO AMBALO TAYARI MSAJILI WA MAHAKAMA KUU AMESHALIPANGA JALADA. FILE HILO LISIKILIZWE MBELE YA MHESHIMIWA JAJI WILFRED DYANSOBERA.
Baada ya Jaji Kihiyo kustaafu rasmi tangu Mwezi July, 2017.
USHINDI MNONO.
CUF NI TAASISI IMARA, YENYE VIONGOZI MAKINI.
HAKI SAWA KWA WOTE
MAHARAGANDE
22/ 12 / 2017
MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA imeipa ushindi Maombi ya Bodi ya Wadhamini ya CUF chini ya Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika shauri Namba 43/01/2017 (From Civil Application No.23/2017) kuhusu kumkataa Jaji Kihiyo kusikiliza shauri la msingi tajwa hapo juu. Shauri hili ndilo linalohoji uhalali na mamlaka ya Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis Mutungi kumrejesha Lipumba katika nafasi ya Uongozi ndani ya CUF baada ya kujiuzulu na kukubaliwa kujiuzulu kwake na Mkutano Mkuu wa Taifa wa CUF uliofanyika katika ukumbi wa Blue Pearl, Ubungo Plaza Tarehe 21 August, 2017.
Jaji Musa Kipenka amekubaliana na hoja za Mawakili Wasomi wa CUF Halfani Daimu, Juma Nassoro na Hashimu Mziray walizozitoa Mbele ya Mahakama ya Rufaa.
MAAMUZI HAYA YANAIPA NAFASI MAHAKAMA KUU KUENDELEA KUSIKILIZA SHAURI HILO AMBALO TAYARI MSAJILI WA MAHAKAMA KUU AMESHALIPANGA JALADA. FILE HILO LISIKILIZWE MBELE YA MHESHIMIWA JAJI WILFRED DYANSOBERA.
Baada ya Jaji Kihiyo kustaafu rasmi tangu Mwezi July, 2017.
USHINDI MNONO.
CUF NI TAASISI IMARA, YENYE VIONGOZI MAKINI.
HAKI SAWA KWA WOTE
MAHARAGANDE
22/ 12 / 2017