Mahakama ya Mafisadi kumfunga nani?

Mahakama ya Mafisadi kumfunga nani?

Hivi Kitilya, Sioi na yule mwenzao wako wapi? Bila kumsahau Masamaki, Kabwe na wenzao?

Hiyo inatowa majibu kwa kichwa cha habari, ujumbe sijausoma.

Inatowa = inatoa. hao uliowataja tayari wamefutiwa shitaka moja, yamebaki makosa saba na I hope kwa mahakama zetu makosa yote yatafutwa na mwisho Wa Siku wataonekana hawana hatia. time will tell
 
Dada hueleweki, mara unauliza wako wapi mara unasema karibuni watakuwa mitaani.

Mbona unajichanganya?


mwanzo nshakwambia ushapanic wewe .Unatumia kila aina ya kauli ila wajuzi tuliokomaa kimawazo na kifikra tunaujua huu mchezo huwa HAUHITAJI HASIRA.


RELAX.....
 
Back
Top Bottom