kweli hakuna awezae kupambana na mafisadi. Hongereni mafisadi mmevipiga vita na mnaelekea kushinda. mahakama ya mafisadi kujengwa kwa mbwembwe na hatimaye kukosa hata kesi Moja ni hatua kubwa kwa mafisadi kuelekea kupata ushindi na hatimaye kuzika kabisa kile kilichokuwa kikiitwa vita dhidi ya ufisadi