fathergetho
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,550
- 914
je io mahakama itakuwa na meno ? au ndio siasa zile zile
Ukweli ni kwamba imekula kwa CCM maana MAFISDAI WOTE wako huko, nitacheka sana kama na wakuu wa kaya wakiachwa.Lowasa ni fisadi mkuu aliiba pesa za RICHMOND...Hata neno "fisadi " lilianzia kwa Lowasa...Lowasa hawezi epuka na kifungo...Muda si mrefu ataungana na mkwe wake Sioi Magereza Keko
Hiki ni kizunguzunguItahusika na mafisadi wapya
Jipe moyo wakwetuNi dhahiri sasa mahakama ya mafisadi inaanzishwa nchini. Mahakama hii itakuwa na kazi moja tu,kusikiliza kesi za mafisadi na kuwahukumu.
Kwa muda sasa CCM povu limekuwa likiwatoka kwa madai kuwa Lowassa ni gwiji la mafisadi nchini,na kwamba CHADEMA walipotoka kwa kumpokea Lowassa. Kwamba haiwezekani mtu ambae CHADEMA walipiga kelele miaka yote kuwa ni fisadi,iweje leo wampokee na kumpa nafasi ya kugombea urais? Povu liliwatoka kwelikweli.
Na jibu la CHADEMA lilikuwa moja tu,kwanini hamkumshitaki kipindi chote hicho? Kama ni fisadi ilikuwaje hajashtakiwa? Swali lilikuwa gumu sana kwa CCM. Tena ikafika kipindi Lowassa mwenyewe akasismama kwa kiburi na kuvimba akawaambia "mwenye ushahidi aende mahakamani". Sentensi hiyo ilikuwa ni msumali wa moto kwa CCM. Hawakwenda mahakamani hadi leo.
Sasa mahakama ya mafisadi imeanzishwa.CCM hawatakuwa na sababu tena ya povu kuwatoka kumtukana Lowassa kwenye mitandao ya kijamii. Tunategemea watafanya jambo moja tu,kumpeleka Lowassa katika mahakama hiyo. Kinyume na hapo hawatakuwa na "mandate" tena ya kumtukana Lowassa kwa sababu wananchi watawauliza "kama Lowassa ni fisadi mbona hapelekwi kwenye mahakama ya mafisadi? Hawatakuwa na cha kujibu. Kwa hiyo option pekee ya CCM na serikali yake ni kumfikisha Lowassa mahakamani,kinyume na hapo Lowassa atakuwa amewafunga goli la kisigino.
Kama wakimpeleka itabidi wawe na ushahidi wa kutosha kuweza kuthibitisha ufisadi wa Lowassa. Je ushahidi huo wanao? Kwa kitendo cha Lowassa kutamka kwa kujiamini kuwa mwenye ushahidi aende mahakamani,ni dhahiri ana uhakika hawana ushahidi huo. Kama hawatakuwa na ushahidi Lowassa atawabwaga katika kesi hiyo kuwaaibisha vibaya. Na huenda kupitia kesi hiyo wananchi tutamjua muhusika halisi wa Richmond alikuwa ni nani?
Mwanahabari Huru
Lowasa ni fisadi mkuu aliiba pesa za RICHMOND...Hata neno "fisadi " lilianzia kwa Lowasa...Lowasa hawezi epuka na kifungo...Muda si mrefu ataungana na mkwe wake Sioi Magereza Keko
Hakuna haja ya kuusoma huu upuuzi mrefu wakati umepata dhamira.Ni dhahiri sasa mahakama ya mafisadi inaanzishwa nchini. Mahakama hii itakuwa na kazi moja tu,kusikiliza kesi za mafisadi na kuwahukumu.
Kwa muda sasa CCM povu limekuwa likiwatoka kwa madai kuwa Lowassa ni gwiji la mafisadi nchini,na kwamba CHADEMA walipotoka kwa kumpokea Lowassa. Kwamba haiwezekani mtu ambae CHADEMA walipiga kelele miaka yote kuwa ni fisadi,iweje leo wampokee na kumpa nafasi ya kugombea urais? Povu liliwatoka kwelikweli.
Na jibu la CHADEMA lilikuwa moja tu,kwanini hamkumshitaki kipindi chote hicho? Kama ni fisadi ilikuwaje hajashtakiwa? Swali lilikuwa gumu sana kwa CCM. Tena ikafika kipindi Lowassa mwenyewe akasismama kwa kiburi na kuvimba akawaambia "mwenye ushahidi aende mahakamani". Sentensi hiyo ilikuwa ni msumali wa moto kwa CCM. Hawakwenda mahakamani hadi leo.
Sasa mahakama ya mafisadi imeanzishwa.CCM hawatakuwa na sababu tena ya povu kuwatoka kumtukana Lowassa kwenye mitandao ya kijamii. Tunategemea watafanya jambo moja tu,kumpeleka Lowassa katika mahakama hiyo. Kinyume na hapo hawatakuwa na "mandate" tena ya kumtukana Lowassa kwa sababu wananchi watawauliza "kama Lowassa ni fisadi mbona hapelekwi kwenye mahakama ya mafisadi? Hawatakuwa na cha kujibu. Kwa hiyo option pekee ya CCM na serikali yake ni kumfikisha Lowassa mahakamani,kinyume na hapo Lowassa atakuwa amewafunga goli la kisigino.
Kama wakimpeleka itabidi wawe na ushahidi wa kutosha kuweza kuthibitisha ufisadi wa Lowassa. Je ushahidi huo wanao? Kwa kitendo cha Lowassa kutamka kwa kujiamini kuwa mwenye ushahidi aende mahakamani,ni dhahiri ana uhakika hawana ushahidi huo. Kama hawatakuwa na ushahidi Lowassa atawabwaga katika kesi hiyo kuwaaibisha vibaya. Na huenda kupitia kesi hiyo wananchi tutamjua muhusika halisi wa Richmond alikuwa ni nani?
Mwanahabari Huru
Mbona ume panic sana mpaka unapita barabara ya vumbi nakuna lami? Jibu hoja hizo hapi juuHakuna haja ya kuusoma huu upuuzi mrefu wakati umepata dhamira.
CCM walimuacha kwa sababu walijua kuwa chadema wanao ushahidi wa kumfikisha Lowasa mahakamani. Badala ya kushirikiana na DPP kutoa ushahidi wa kumfikisha Lowasa mahakamani chadema walimpa tiketi ya kuwa mgombea urais na kumtupa rais wa mioyo yao Dr Slaa.
Hivyo basi ccm wanamuita Lowasa fisadi kutokana na ushahidi walionao chadema. Laiti kama chadema watatangazia umma kuwa wlimchafua Lowasa kwa makusudi kutokana na siasa zao uchwara na hawana ushahidi wa ufisadi wa Lowasa. Ayaseme hayo Mnyika, Lema, Mbowe, Lisu na Msigwa. DPP anasubiri ushahidi kutoka chadema ili imfikishe Lowasa mahakamani
Kama hiki kinachoendelea ni kweli. Huenda Mhyika atashirikiana na Takukuru kumfikisha Lowasa mahakamani.
Nadhani ataunganishwa na yule aliyenunua kivuko feki,na yule aliyetwalia nyumba za serikali kwa wasio wafanyakazi,msisahau aliyeiitia hasara serikali kulipia kituo cha mafutaLowasa ni fisadi mkuu aliiba pesa za RICHMOND...Hata neno "fisadi " lilianzia kwa Lowasa...Lowasa hawezi epuka na kifungo...Muda si mrefu ataungana na mkwe wake Sioi Magereza Keko
acha stori za jikoni wewe,kuna wanasheria walio bobea ndani ya serikali mbona hawamfikishi mahakamani au unadhani kuwa hiyo mahakama ndio ilifunguliwa kwa ajili ya lowasa,angalia cha kuongea na kushabikia sio unakuja jamii na maneno yako ya saloon mkisukana hapaLowasa ni fisadi mkuu aliiba pesa za RICHMOND...Hata neno "fisadi " lilianzia kwa Lowasa...Lowasa hawezi epuka na kifungo...Muda si mrefu ataungana na mkwe wake Sioi Magereza Keko
Ulitegemea Lowassa awazuie?Ni dhahiri sasa mahakama ya mafisadi inaanzishwa nchini. Mahakama hii itakuwa na kazi moja tu,kusikiliza kesi za mafisadi na kuwahukumu.
Kwa muda sasa CCM povu limekuwa likiwatoka kwa madai kuwa Lowassa ni gwiji la mafisadi nchini,na kwamba CHADEMA walipotoka kwa kumpokea Lowassa. Kwamba haiwezekani mtu ambae CHADEMA walipiga kelele miaka yote kuwa ni fisadi,iweje leo wampokee na kumpa nafasi ya kugombea urais? Povu liliwatoka kwelikweli.
Na jibu la CHADEMA lilikuwa moja tu,kwanini hamkumshitaki kipindi chote hicho? Kama ni fisadi ilikuwaje hajashtakiwa? Swali lilikuwa gumu sana kwa CCM. Tena ikafika kipindi Lowassa mwenyewe akasismama kwa kiburi na kuvimba akawaambia "mwenye ushahidi aende mahakamani". Sentensi hiyo ilikuwa ni msumali wa moto kwa CCM. Hawakwenda mahakamani hadi leo.
Sasa mahakama ya mafisadi imeanzishwa.CCM hawatakuwa na sababu tena ya povu kuwatoka kumtukana Lowassa kwenye mitandao ya kijamii. Tunategemea watafanya jambo moja tu,kumpeleka Lowassa katika mahakama hiyo. Kinyume na hapo hawatakuwa na "mandate" tena ya kumtukana Lowassa kwa sababu wananchi watawauliza "kama Lowassa ni fisadi mbona hapelekwi kwenye mahakama ya mafisadi? Hawatakuwa na cha kujibu. Kwa hiyo option pekee ya CCM na serikali yake ni kumfikisha Lowassa mahakamani,kinyume na hapo Lowassa atakuwa amewafunga goli la kisigino.
Kama wakimpeleka itabidi wawe na ushahidi wa kutosha kuweza kuthibitisha ufisadi wa Lowassa. Je ushahidi huo wanao? Kwa kitendo cha Lowassa kutamka kwa kujiamini kuwa mwenye ushahidi aende mahakamani,ni dhahiri ana uhakika hawana ushahidi huo. Kama hawatakuwa na ushahidi Lowassa atawabwaga katika kesi hiyo kuwaaibisha vibaya. Na huenda kupitia kesi hiyo wananchi tutamjua muhusika halisi wa Richmond alikuwa ni nani?
Mwanahabari Huru
Rudia kusoma utaona nilichokijibu na nimeeleweka kwa wengi. unayo kawaida ya kutoa majawabu haya kwani huwa hujui nini cha kujibu kwasababu wewe ni kitumiwa tu huna utashi.Mbona ume panic sana mpaka unapita barabara ya vumbi nakuna lami? Jibu hoja hizo hapi juu