Mahakama ya Kisutu yawahukumu Mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona kwenda jela miaka 3

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Nimepigiwa simu kufahamishwa hilo ila sina uhakika.Nasikia wamehukumiwa kifungo cha jela miaka mitatu na faini ya million 5. Ila navyoamini itakuwa jela miaka 3 au faini ya million 5.

Kama kweli wamefungwa japo ni miaka michache ndio watakuwa kafara au arent kwa kina Chenge hata sijui. Ni vigumu kuhukumu kesi za wanasiasa bila kuangalia siasa kwa nchi changa kisiasa

Mwenye taarifa za kina atujuze.



========

Video ikiwaonyesha Mramba na Yona Mahakamani baada ya kuhukumiwa miaka mitatu jela:


Hisani: MillardAyo.com
 
Last edited by a moderator:
mkuu tulia,kifungo cha miaka mitatu na faini ya miaka mitano
 
mkuu tulia ,lete habari iliyokamilika
na sio habari mfu kama hivi ulivyoleta
kama huna uhakika ni bora uweke UNCONFIRMED
ili wadau wa mambo wakuwekee sawa
 
hukumu ya kampeni hii na ni maigizo!!

Kesi imechukua 9years,2010 kwenye kampeni Kikwete alijigamba pale Jangwani kuwa kapambana na rushwa kwa kushitakiwa mawaziri Yona na Mramba,2015 kwenye kampeni series itaendelea!!

Siku za hukumu zilisogezwasogezwa,leo hukumu hiyo kwa kuitia hasara 11+ billions na matumizi mabaya ya ofisi,real??!!

Francis Cheka alihukumiwa kwa kupigana miaka mingapi??! jela kuna watu wamefungwa zaidi ya miaka minne kwa wizi wa kuku,ngombe etx
 
Hii ndio adhabu gani,tukiendelea na ujinga kama huu nakwambia wizi hautokwisha serekalini.Ningefurahi na kuipongeza mahakama kama wangelambwa miaka 20 jela,Viboko kumi wakianza kutumikia adhabu zao na viboko vingine kumi wakati wakitoka jela,wafilisiwe malizao zote na kusiwepo na fursa ya kupunguziwa adhabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…