Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu serikalini, zenye kuashiria kwamba serikali ilikuwa tayari kuilipa Dawans, zimetafsiriwa na wadadisi wengi wa habari kuwa zina lengo la kuishinikiza mahakama kuu kuridhia malipo hayo. Kuna ukweli wowote juu ya tafsiri hii?