Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Mahakama kwenda likizo? Wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu hii inakubalika?
Sheria inasema mtuhumiwa akikamatwa anatakiwa apelekwe mahakamani ndani ya SAA 24, je watuhumiwa watakokamatwa kuanzia tarehe 15dec mpaka 15 Jan sheria haitaeatendea haki kwa kuwa mahakama zitafungwa?
Je ni mahamakama zote zinakwrnda likizo, au ni mahakama kuu tu.
Kuna mkoa mmoja kidato cha tatu hawajafunga...Mahakama inafunga shule
Lengo limetimia(uneless kesi yake itastahii huo udharura),vinginevyo ndio hivyo ila tujue katika mapambano ya kutafuta haki na usawa, ni lazima kuna watu wataumia na kuteseka kwa faida ya walio wengi.
Niwataarifu tu,huu ni mwanzo kwani watakaoendelea kuumia na kuteseka ni wengi ila tukumbuke kila kitu kina mwisho.
Baada ya hapo,sitashangaa wakitamka kuwa hawana nia ya kuendelea na kesi maana watakuwa wametimza lengo lao.
Gharama ya kulipa bado ni kubwa sana huko mbeleni na hii ni sehemu ndogo tu ya gharama ya awali tutakayoilipa huko siku za usoni-tujiandae.
Hata hivyo,ni jambo la kushangaza kwa utaratibu huu wa chombo hiki nyeti kwenda mapumziko ya muda wote huo ila hali watumishi wengine wote wa umma hawana mapumziko ya aina hii.
Bavicha muulizeni Kibatari....likizo ya mwisho Wa mwaka IPO kisheria tangu 1964Mbowe target
Oh yes kila kitu kina mwisho... kwa mfano mgao wa umeme.Lengo limetimia(uneless kesi yake itastahii huo udharura),vinginevyo ndio hivyo ila tujue katika mapambano ya kutafuta haki na usawa, ni lazima kuna watu wataumia na kuteseka kwa faida ya walio wengi.
Niwataarifu tu,huu ni mwanzo kwani watakaoendelea kuumia na kuteseka ni wengi ila tukumbuke kila kitu kina mwisho.
Baada ya hapo,sitashangaa wakitamka kuwa hawana nia ya kuendelea na kesi maana watakuwa wametimza lengo lao.
Gharama ya kulipa bado ni kubwa sana huko mbeleni na hii ni sehemu ndogo tu ya gharama ya awali tutakayoilipa huko siku za usoni-tujiandae.
Hata hivyo,ni jambo la kushangaza kwa utaratibu huu wa chombo hiki nyeti kwenda mapumziko ya muda wote huo ila hali watumishi wengine wote wa umma hawana mapumziko ya aina hii.
kesi ya kawaida tu ile ndugu na itafuata taratibu za kawaida tu.Kesi Ya Akina Mbowe Ni Urgent Matter Maana Ililetwe Under Certificate Of Urgency
We acha tu ! Yaani mtu a jump bail tena ni kiongozi halafu ategemee mahakama icheke nae !! Worse still iache ratiba zake za likizo kisa ? He should have known the consequencies of his actions.Kwani alitumwa aende kunywa juisi dubai na kupiga Selfie?
Utaambiwa huna experience; pata experience kwanza (sijui uipatie) uje. Anyway wataalamu watatwambia maana yawezekana likizo hiyo ya siku 45 iko kisheria!Duh sijawahi kusikia "justice serving" ikienda likizo
Kama ni uhaba wa watendaji mbona vijana tupo hatuna ajira mitaani huku.
Kwa kuwa Mbowe yuko mahabusu inabidi ratiba za mahakama zibadilishwe kwa ajili yake, du! Kama una mapenzi naye hivyo ukamshauri asiruke dhamana tena.Kuna siku tutasikia Hospital nazo zinaenda likizo.Hii Kali,yaani ni upinzani tu unawatesa hivyo.Basi hakuna kitu aisee hatuna kitu for next 7 years.Yajayo yanafurahisha
Naweza kumtia mimba ya mapacha dadakoUna umri gani?!
Wacha matusi wewe kada wa Lumumba......Hapa wakumuonea huruma ni Esther Matiko tu Mwanamama aliye aminiwa na wanaume wa Tarime Mjini. Huyu mbowe ni Fala sana alikua mahututi
Wacha matusi wewe kada wa Lumumba......