SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,714
- 60,721
AGIZO TOKA UTOSINI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mjinga tu mdaka makombo!Mbwiga ungeuliza kabla bwashee Mbowe hajatupwa jela walau wenye akili tungekuelewa lakini sasa tunakuona ni kibaraka mafi mafi tu!
hiv ni idara yote ya mahakama au hizo mahakama za juu tu. nina kesi yangu mahakama ya ardhiMahakama kwenda likizo? Wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu hii inakubalika?
Hahahaa...... Bwashee aliibeep mahakama sasa imepokea atatoka mwakani!Wewe ni mjinga tu mdaka makombo!
Hayo ndo huitwa manafiki.Lishukuru Mungu amezidisha neema,ingekuwa enzi za manabii (mf:Musa) lingeshapigwa radi likajifia mbele ya. sanduku la agano.Wauaji wanapeta mtaani alafu lile jitu kila Jumapili liko madhabahuni.
Mahakama inaenda Likizo? Dah
Duh sijawahi kusikia "justice serving" ikienda likizo
Kama ni uhaba wa watendaji mbona vijana tupo hatuna ajira mitaani huku.
Imeshawahi kutokea mahakama kwenda likizo tena kwa mda mrefu hivo?
it is yearly leave for commonwealth law practitionersImeshawahi kutokea mahakama kwenda likizo tena kwa mda mrefu hivo?
Unauhakika na unachodai au lengo lako lilikuwa kuchomekea ya Mbowe! Haya maisha ya CCM na Mbowe yanatufanya watanzania tuonekane wahovyo, wenzetu Kenya wanagombana wenyewe kwa wenyewe lakini pia wakobize kuimarisha viwanda tofauti na sisi bize kuimarisha CCM.Dogo hiyo likizo ipo miaka yote na haijawahi kuleta sintofahamu yoyote. Jambo jipya labda ni hilo la kiongozi mkubwa kuruka dhamana.....tena karibia na msimu wa likizo ya mahakama!
Ndo tabu ya kuamka ukiwa kwenye heat na bwana yako hajakugusa!Mshangao wenu ni athari za mitandao ya kijamii kutochuja vitoto vodogo na vijinga vinachojua nu kubonyeza tu keyboard.
Hata mngekuwa mbumbumbu kiasi gani basi ungeona barua imeanza naneno Under G.N. 307 of 1964.
Bora wewe umewaambia ukweli wana cdm, sijui chama kilibeba wajinga wote chamani!!Mwenyekiti alifanya ya kitoto nao wanacomment humu ya kitoto. Sijui hajawahi kunywa juice huko Bomang'ombe!Kesi ya Mbowe haina udharura wowote, na kimsingi anastahili kupambana na hali yake.
Kila mtu mwenye akili timamu anajuwa alichokifanya Mbowe.
Umeua mjombaaa!Dogo hiyo likizo ipo miaka yote na haijawahi kuleta sintofahamu yoyote. Jambo jipya labda ni hilo la kiongozi mkubwa kuruka dhamana.....tena karibia na msimu wa likizo ya mahakama!
Narejea kauli yangu ya awali, watuhumiwa walicheza danadana kesi yao kwa vipingamizi mbalimbali, kwa ushauri wa mawakili wao, ikawa haitajwi.Lengo limetimia(uneless kesi yake itastahii huo udharura),vinginevyo ndio hivyo ila tujue katika mapambano ya kutafuta haki na usawa, ni lazima kuna watu wataumia na kuteseka kwa faida ya walio wengi.
Niwataarifu tu,huu ni mwanzo kwani watakaoendelea kuumia na kuteseka ni wengi ila tukumbuke kila kitu kina mwisho.
Baada ya hapo,sitashangaa wakitamka kuwa hawana nia ya kuendelea na kesi maana watakuwa wametimza lengo lao.
Gharama ya kulipa bado ni kubwa sana huko mbeleni na hii ni sehemu ndogo tu ya gharama ya awali tutakayoilipa huko siku za usoni-tujiandae.
Hata hivyo,ni jambo la kushangaza kwa utaratibu huu wa chombo hiki nyeti kwenda mapumziko ya muda wote huo ila hali watumishi wengine wote wa umma hawana mapumziko ya aina hii.
Wewe ni mjinga wa kwanza maana wa mwisho ana afadhali, ni mshtakiwa gani anaweza kuiingilia mahakama isitaje kesi yake? Date za kimahakama ni siku 14.Narejea kauli yangu ya awali, watuhumiwa walicheza danadana kesi yao kwa vipingamizi mbalimbali, kwa ushauri wa mawakili wao, ikawa haitajwi.
Kibaya zaidi baadhi ya watuhumiwa wakaruka dhamana na kuishutumu mahakama kuwa Hakimu anafanya maamuzi ya kuagizwa, bila ushahidi.
Matokeo ya hayo tusubiri jibu.
Naona uzi unafufuka sasa. Kwani Kebby's Hotel ni ya nani?Afrika mambo ya ngono sio scandal.. Yohana Yusufu alimpora mke wa best friend wake akamjengea Kebby's hotel shida iko wapi...
Hii ni kalenda ya mahakama iko kila mwaka na inaitwa mwaka wa mahakama. Kwa uelewa wako unafikiri miaka mingine huwa hawachukuwi likizo kwa sababu mbowe huwa yuko Nyumbani kwake hivyo akili za wengine zinafuata ratiba ya Mbowe na kudhani duniani hakuna likizo kama hizi za kimahakama.Mbona mwaka Jana hamkuchukua?
Kwani wajeda waligoma kutoa jastisi?Hatuna pesa mkuu za kuwalipa. Tunajua kabisa vijana mpo
Wewe ni mzazi wa Mbowe mpaka upingane na tarehe yake ya kuzaliwa?Hii ni kalenda ya mahakama iko kila mwaka na inaitwa mwaka wa mahakama. Kwa uelewa wako unafikiri miaka mingine huwa hawachukuwi likizo kwa sababu mbowe huwa yuko Nyumbani kwake hivyo akili za wengine zinafuata ratiba ya Mbowe na kudhani duniani hakuna likizo kama hizi za kimahakama.
HBD mbowe ni 14 sept 1960, ila kwa sababu yuko gerezani imebadilishwa ili kupumbaza watu wasiojuwa kuna likizao ya mahakama.