Mahabusu afariki akiwa Mikononi mwa polisi

Mahabusu afariki akiwa Mikononi mwa polisi

Hivi kama anakuwa ni ndugu yako na alifika akiwa salama jioni mmpeleka chakula asubuhi unaambiwa kafa, mwili mnaukuta na majeraha!!!!!


Isijekuwa matukio ya vituo kuvamiwa na askari kuuwawa ni visasi vinavyochukuliwa kama uvamizi!!!!
 
Kwanini jeshi la polisi la awamu hii linaua sana raia? Au kuna agenda ya siri ya kutupunguza wazawa na kuijaza nchi hii wachina waarabu na wahindi?
 
Inahitaji uwe kilaza ili utumikie jeshi la polisi
 
kuna watu mamburula sana yaani habari ummeichukua gazetini na kuanza kupayuka hovyohovyo tu hivi una uhakika gani na hilo gazeti kuwa limesema ukweli kuwa kamanda wambura ndivyo alivyosema?. kuhusu elimu huyo anashahada ya sheria chuo kikuu cha Dar es salaamm sasa kama chuo hicho kinatoa elimu feki mtuambie pia huyo kamanda kasomea elimu mbalimbali za uongozi na upelelezi ndiyo maana kafikia daraja hilo la kupewa madaraka ya uRPC. tuache kuropokaropoka bila kufanya utafiti wa kina kisa tu hisia zako zinakupeleka unakokuwaza.

Whether hiyo habari ni kweli ama uongo, still wafungwa wengi wanakufa kwa style hiyo... wengi wanaishi kama wanyama ndani ya magereza... by the way, are you a police?
 
kuna watu mamburula sana yaani habari ummeichukua gazetini na kuanza kupayuka hovyohovyo tu hivi una uhakika gani na hilo gazeti kuwa limesema ukweli kuwa kamanda wambura ndivyo alivyosema?. kuhusu elimu huyo anashahada ya sheria chuo kikuu cha Dar es salaamm sasa kama chuo hicho kinatoa elimu feki mtuambie pia huyo kamanda kasomea elimu mbalimbali za uongozi na upelelezi ndiyo maana kafikia daraja hilo la kupewa madaraka ya uRPC. tuache kuropokaropoka bila kufanya utafiti wa kina kisa tu hisia zako zinakupeleka unakokuwaza.

Gazeti ni reliable source, kuna wizara na idara zinashughulikia uhalali na uhakika wa habari. Sasa mtu akiamini gazeti ana uhalali wa kufanya hivyo!!!

Kamanda naye ni mamlaka sasa kama gazeti linaweza kumsingizia basi yeye akiwa kama mamlaka halali ya kusimamia sheria basi upotovu wa gazeti hilo ni kibarua kipya mezani kwake!!!

Kuhusu elimu hilo tuliache tu , ila ujumbe ni kuwa mayendo haya ya watu kupigwa na kuteswa vituoni linafikia hatua mbaya na hatupendezwi na hali hiyo!!!!
 
Never trust hawa polisi wa Tz...kila kitu kwao ni dili...hata akiwa ndugu yako,akijua una chapaa kidogo lazima akuchoree mchezo......pambaf sana hili jeshi..
 
Back
Top Bottom