Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Huko Nchini Malawi kuna operation inaitwa Magufulification imeanza kazi rasmi watumishi wote wa Serikali wametakiwa kupeleka na kuonesha vyeti vyao Halisi walivyoajiriwa navyo.
Aliyekuwa mkuu wa Kitengo cha ulinzi wa Rais ametiwa nguvuni kwa kosa la nyuma la tabia ya kuingia bidhaa na vitu mbalimbali bila kulipa kodi yoyote!
Baadhi ya wafanyabiashara pia nao wametiwa nguvuni kwa kosa la kutolipa kodi.
Thank you President Magufuli umeiamsha Afrika.
Aliyekuwa mkuu wa Kitengo cha ulinzi wa Rais ametiwa nguvuni kwa kosa la nyuma la tabia ya kuingia bidhaa na vitu mbalimbali bila kulipa kodi yoyote!
Baadhi ya wafanyabiashara pia nao wametiwa nguvuni kwa kosa la kutolipa kodi.
Thank you President Magufuli umeiamsha Afrika.