Waulize CCM ni wapi alipo Lowasa hahaahaa watakueleza kila kitu hadi nguo alizovaaa! Na idadi ya watu waliohudhuria ila sasa waulize yuko wapi mgombea wao! Zzzzzzzzzz
Wakawa. Wanahangaika. Mnafikiri ile pete ya uchawi ya mgombea wenu wa urais inaweza kumdhuru Rais wa Tanzania Magufuli? Nguvu ya hiyo pete ni kujaza wahuni kwenye mikutano tu
Endeleeni kujipa matumaini kama ya el wanaukawa. Kesho Tingatinga ndani ya Lindi. Mnazani ni huyo zezeta asojua anamnadi nani mpaka linakosea kila siku kwa kukosa kumbukumbu.
Inaonekana mtoa mada hafuatilii matangazo ya biashara, sasa hivi Magufuri anawazidi hata cocacola, tigo na voda kwa matangazo ya biashara yake na kwenye mabango ndio usiseme mpaka kinyaa.
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Electrical engineering module 2
1.Determine motor speed in RPM that we'll fed adult can maintain via hand cranking in absence of grid power. (10 marks)
2.Determine the maximum time in seconds the well fed adult can maintain the above RPM within a margin error less than two standard deviations.(10 marks)