Ratiba kutoka NEC kwa
ajili ya ya Mgombea Urais
wa CCM inasema:
Tarehe 10/10/2015: Mikoa
mitatu ya Unguja
(Kaskazini, Kusini, Mjini
Magharibi)
Tarehe 11/10/2015: Mkoa
wa Pwani (Mafia) na Lindi
(Kilwa)
Tarehe 12/10/2015: Mkoa
wa Lindi (Ruangwa, Lindi
M, Lindi V, Nachingwea)
Haya jaribu kufuatilia
kujua sasa yuko wapi,
mjumbe hauawi!!!