kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 905
- 1,244
kazi kweli..Nilikuwa nasubiri wanafunzi wa UDOM nao wagome, wangeondoka wote- Rais Magufuli
Tumeleta mradi wa mabasi ya mwendo kasi lakini watu wanajisaidia humo. Mkuu wa Mkoa, Wilaya, Polisi wapo. Wapelekeni wakajisaidie gerezani-Rsis Magufuli
Badala fedha ziende kujenga maabara, madarasa na madawati, zinaenda kuwalipia vilaza.- Rais Magufuli
"Trafiki wakamate magari yanayopita barabara ya magari yaendayo kasi na kutoa matairi na wakihojiwa wajibu, lilikuja bila matairi."-Rais Magufuli