jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 651
- 2,246
Ni dakika ya ngapi ya mpambano mimi hata sifahamu.Lakini...
Ni lazima mmoja baina yao mwisho wa siku atangazwe mshindi!
Ni lazima mpambano uendelee kuwa wa wazi namna hii ili watoa hukumu waendelee kuwa na maksi sahihi kwa kila mmoja wao.
Ni lazima Samia aongeze kasi ya kuupiga mwingi ili kwalo angalau azibe mapengo ya alama alizoachwa nyuma na JPM.
JPM mzuri sana kwa kukaba mianya na matobo na ndiyo maana maksi nyingi bado wengi wanampa yeye...
Mama anazingua katika mipira ya kona
Hili game kwa namna lilivyo umama ukizidi sidhani kama atatoboa huyo mzenji.
Yangu macho!
Ni lazima mmoja baina yao mwisho wa siku atangazwe mshindi!
Ni lazima mpambano uendelee kuwa wa wazi namna hii ili watoa hukumu waendelee kuwa na maksi sahihi kwa kila mmoja wao.
Ni lazima Samia aongeze kasi ya kuupiga mwingi ili kwalo angalau azibe mapengo ya alama alizoachwa nyuma na JPM.
JPM mzuri sana kwa kukaba mianya na matobo na ndiyo maana maksi nyingi bado wengi wanampa yeye...
Mama anazingua katika mipira ya kona
Hili game kwa namna lilivyo umama ukizidi sidhani kama atatoboa huyo mzenji.
Yangu macho!
