Magufuli Vs. Lowassa, nani zaidi katika Utekelezaji?

Magufuli Vs. Lowassa, nani zaidi katika Utekelezaji?

Tofauti ya Lowassa na Magufuli

Lowassa
1. Alivunja mkataba kati ya city water na serikali ikashinda kesi
2. Alisimamia kidete katika kubatilisha matumizi ya maji ya ziwa victoria dhidi ya mkataba wa kikoloni na hivyo kupelekea watanzania kuanza kunufaika na maji ya ziwa victoria.
3. Alisimamia kwa nguvu uanzishwaji na ujenzi wa shule za kata lakini alivyotoka serikalini utekelezaji ukawa wa hovyo.
4. Alitaka kuvunja mkataba wa Richmond lakini mamlaka za juu zikaingilia.
5. Alitoa kauli iliyosababisha nchi ya Malawi kuufyata baada ya kuleta choko choko dhidi ya Tanzania.
Ongeza ya kwako

Magufuli
1. Alikamata meli ya samaki kwa mbwembwe na hivyo kuitia hasara serikali mabilioni ya shilingi kwa kushindwa kesi mahakamani.
2. Alisimamia uvunjwaji wa kituo cha mafuta kule mwanza na serikali ikashindwa kesi na hivyo kupata hasara ya mamilioni.
3. Hana kauli nzuri kwa watanzania pale aliposema watakao shindwa kulipa nauli ya kivuko cha kigamboni wapige mbizi
Ongeza yako
 
LOWASA

6. Ni Fisadi Papa
7. Alitokea kwenye list of shame ya dr slaa

MAGUFULI

4. Ni mchapakazi
5. Watanzania wanamjua kama definition ya neno 'JEMBE' katika utendaji wa viongozi wa serikali
 
Wote mliochangia kumlinganisha msomi mwana mahesabu na Sayansi Magufuli na kilaza Edward mwanasanaa za maıgzo, mtakuwa wote mlipata zero au div4 na mlikuwa na masomo 7 tu.Lowasa ni Kilaza na anaungwa mkono na vilaza wenzake.

Pini imetoboa mfupa mwaka huu Mtanyooka tuu kuwa mpole
 
Lowasa ndo rais wetu full stop
 
magufuli waziri ka simamiwa na kuripoti kwa lowasa akiwa waziri mkuu kuweni na adabu.
 
Jamani ccm kama niushindi subilini oct msianze kudanganya watu nakuchukua vitambulisho vyao nakuchukua cod mambo za vitambulisho
 
LOWASA
8. Ni mgonjwa mahututi
9. Anausaka urais kwa hali na Mali

MAGUFULI
7. Hajambo
8. Kaombwa kugombea
 
Wote mliochangia kumlinganisha msomi mwana mahesabu na Sayansi Magufuli na kilaza Edward mwanasanaa za maıgzo, mtakuwa wote mlipata zero au div4 na mlikuwa na masomo 7 tu.Lowasa ni Kilaza na anaungwa mkono na vilaza wenzake.

wew na babu yako ndo vilaza.shut up your hole!!!!!???
 
LOWASA

6. Ni Fisadi Papa
7. Alitokea kwenye list of shame ya dr slaa

MAGUFULI

4. Ni mchapakazi
5. Watanzania wanamjua kama definition ya neno 'JEMBE' katika utendaji wa viongozi wa serikali[/Bila mikono ya mkulima halina kazi.
 
LOWASA
8. Ni mgonjwa mahututi
9. Anausaka urais kwa hali na Mali

MAGUFULI
7. Hajambo
8. Kaombwa kugombea

Lowassa
10. Mbunifu
11. Anamaono makubwa
12. Mwanzilishi wa Mambo
13. One Man Army (Mpambanaji)
 
LOWASA

6. Ni Fisadi Papa
7. Alitokea kwenye list of shame ya dr slaa

MAGUFULI

4. Ni mchapakazi
5. Watanzania wanamjua kama definition ya neno 'JEMBE' katika utendaji wa viongozi wa serikali

Fisadi papa ni yule alietoa kauli kutoka juu mkataba usivunjwe,na ni kweli JEMBE na BULDOZA au TINGATINGA ktk chama chetu tumepata.Na mwendeshaji wa zana hizi yupo,nae si mwingine ni mwenyekiti wa chama chetu.Maana atastaafu uenyekiti wa chama 2017,baada ya kulitumia TINGATINGA ipasavyo na kuliacha likiwa tayari na uzoefu wa kuutumia mfumo kama ilivyo ada.
 
9.magufuli siku moja alikuwa akihutubia wananchi katika wilaya ya longido na alipoulizwa swali na wananchi akawajibu kuwa nyie mko mpakani mwa kenya na Tanzania kwahiyo kama unaona unaonewa hapa Tanzania hamia kenya.
 
Lowassa is a visionary leader anajuwa ni wapi pakupeleka nchi. Wengine wanatumia nguvu zaidi!
 
9.magufuli siku moja alikuwa akihutubia wananchi katika wilaya ya longido na alipoulizwa swali na wananchi akawajibu kuwa nyie mko mpakani mwa kenya na Tanzania kwahiyo kama unaona unaonewa hapa Tanzania hamia kenya.
Na loLowassa akasema asiyenipenda ahame CCM. Akaishia kuhama yeye
 
Magufuli a qualified engineer.
Lowassa, a degree in ballet dancing.
Magufuli healthy
Lowassa criticality sick
 
Back
Top Bottom