Hebu anaglieni miradi mikubwa inayoanza na itakayoanza mda si mrefu..je hizi peas Magu anatoa wapi??
1.Strogersgorge:2100MW rufiji..
see Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge — Ministry of Energy and Minerals
2. Kupanua Barabara ya Mwenge---Moroko to be 8 lane na fly over ya Moroko na Mwenge
3.Ujenzi wa barabara kutoka Kimara had Chalinxe--8 lane super highway
4.Kuchimba maji kigambon..Kuzalisha lita 50 million per day.
5.Kuleta maji za ziwa Victoria Tabora, Nzega, Igunga
6.Kuunganisha Barabara ya Nyakanazi to Kigoma kwa Rami.
7.Ujenzi wa majengo ya Wizara na Taasis zake Dodoma
8.Kupanua Bandari za Dar na Mtwara na Tanga
9.Kupanua Viwanja vya ndege
10.Kununua ndege zote
11.Kuongeza Mwendo kasi Moroko--Tegeta, Kariakoo Mbagala, Kariakoo tabata
13.Standard Gaurge..14 tirrions costs
Hizi pesa Magu unazitoa wapi wakati makusanyo yanarange tillion 1 kwa mwez, hapo utoe mishahara ya wafanyakazi (550 Billion),Madeni 400 Billion hivyo unabakiza 50 Billion kwa mwezi kwa ajili ya OCs na Miradi ya Maendeleo. Swahi je Magu anatoa wapi hizi pesa za miradi mikubwa hivi wakati mapato nikidogo??? Au anaprint hera. Nasema hvyo kwani serikali haijapata mikopo ya maana tangia iingie madarakani.
1.Strogersgorge:2100MW rufiji..
see Wazabuni 66 wajitokeza mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge — Ministry of Energy and Minerals
2. Kupanua Barabara ya Mwenge---Moroko to be 8 lane na fly over ya Moroko na Mwenge
3.Ujenzi wa barabara kutoka Kimara had Chalinxe--8 lane super highway
4.Kuchimba maji kigambon..Kuzalisha lita 50 million per day.
5.Kuleta maji za ziwa Victoria Tabora, Nzega, Igunga
6.Kuunganisha Barabara ya Nyakanazi to Kigoma kwa Rami.
7.Ujenzi wa majengo ya Wizara na Taasis zake Dodoma
8.Kupanua Bandari za Dar na Mtwara na Tanga
9.Kupanua Viwanja vya ndege
10.Kununua ndege zote
11.Kuongeza Mwendo kasi Moroko--Tegeta, Kariakoo Mbagala, Kariakoo tabata
13.Standard Gaurge..14 tirrions costs
Hizi pesa Magu unazitoa wapi wakati makusanyo yanarange tillion 1 kwa mwez, hapo utoe mishahara ya wafanyakazi (550 Billion),Madeni 400 Billion hivyo unabakiza 50 Billion kwa mwezi kwa ajili ya OCs na Miradi ya Maendeleo. Swahi je Magu anatoa wapi hizi pesa za miradi mikubwa hivi wakati mapato nikidogo??? Au anaprint hera. Nasema hvyo kwani serikali haijapata mikopo ya maana tangia iingie madarakani.