Magufuli unasumbua watumishi wa umma. Watakosa motisha.

Kama huna cheti toka tu tuingie wenye navyo,vyeti vyako vyote unatakiwa uwe navyo sasa cheti unakiacha kijijini unamwachia nani? Bibi yako ama mjomba ako?
Kila mmoja apate haki yake,kuna dada mmoja alitumiaga cheti cha dada yake kwenda kusoma ualimu....namwona saivu amepungua ghafla
Ukiona hoja ya mwenzako imegusa wengi, ujue ya kwako haina mashiko. Watumishi wananyanyasika sana in the name of UHAKAKIKI WA WATUMISHI HEWA.
 
Hapo ndipo namkumbuka mzee kingunge alisema,'' huyu anasitahili kuwa mnyampala wa barabara ni sio kuwa mkuu wa nchi'' asante sana mzee kingunge yametimia.

Usikumbushe maneno ya kampeni ukamuweka mzee wa watu matatani
 
Kama huna cheti toka tu tuingie wenye navyo,vyeti vyako vyote unatakiwa uwe navyo sasa cheti unakiacha kijijini unamwachia nani? Bibi yako ama mjomba ako?
Kila mmoja apate haki yake,kuna dada mmoja alitumiaga cheti cha dada yake kwenda kusoma ualimu....namwona saivu amepungua ghafla

Kumbe alienda kusoma mi nilifikiri alitumia kuombea kazi
 
Yaani Dunia imejaa watu wa ajabu sana! Hivi unategemea masikini akufanye wewe uwe tajiri? Binafsi naamini kwamba ukiona MTU amesoma mpaka kupata PhD lakini yeye binafsi bado ana shida ya kipato basi huyo hawezi kuwa kiongozi Mwenye tija!! Mnaotegemea viwanda vije mimi nawatakia kila la kheri.
Very ignorant. Kama umesoma basi elimu yako haijakusaidia. Einstein alikuwa tajiri? unajua benifits alizoacha mpaka leo? hata hao NASA wasingeenda kwenye masayari huko. Kwa ufupi kabisa you r ignorant and stupid. Jifunze purpose ya elimu.
 
Jamaaa hapendi kabisa watumishi wa umma anatamani yaani angekuwa na uwezo angefanya mwenyewe na jeshi la polisi kazi zote, wanaotambukika kwake ni polis mahakama na walala hoi.. Wale wanaowahudumia walala hoi wake hawataki
 
Jamaaa hapendi kabisa watumishi wa umma anatamani yaani angekuwa na uwezo angefanya mwenyewe na jeshi la polisi kazi zote, wanaotambukika kwake ni polis mahakama na walala hoi.. Wale wanaowahudumia walala hoi wake hawataki
Kwa kifupi anapenda Serikali ya Kijeshi. Kwa sababu Jeshini hawahoji Amri. Na jamaa ni Mzee wa Amri.
 
Kama huna cheti toka tu tuingie wenye navyo,vyeti vyako vyote unatakiwa uwe navyo sasa cheti unakiacha kijijini unamwachia nani? Bibi yako ama mjomba ako?
Kila mmoja apate haki yake,kuna dada mmoja alitumiaga cheti cha dada yake kwenda kusoma ualimu....namwona saivu amepungua ghafla
Umeona wapi ajira unaombwa cheti cha darasa la saba, pia kwanini uhakiki haushii mana hii safari ya 3 sasa , nazanu serikali haina pesa ndio maana wanazungushazungusha wasitoe nyongeza
 
Yaani mtumishi wa umma yuko kwenye harakati za kuhamia Dodoma halafu hapo hapo anaambiwa awasilishe Cheti cha Shule ya Msingi iliyoko vijijini kwa ajili ya uhakiki. Shule hiyo sasa imegawanywa Shule tatu na ile Ofisi ya Mwalimu Mkuu enzi hizo ilishavunjwa. Anafanya jitihada za kukitafuta bila mafanikio. Mtumishi anaamua kurudi kazini bila cheti cha Shule ya msingi, lakini anaambiwa hajatimiza vigezo. Presha inampanda na hapo hapo Tangazo la kuhamia Dodoma na watumishi hewa linamhusu, kwa sababu yuko masomoni, na DED kaitisha attendance register kwenye kusanyiko la mbio za Mwenge.

Sasa sijui anaanzia wapi.
Magufuli na serikali yako kuweni na huruma.
TANZANIA YA VIWANDA NA UHAKIKI WA VYETI VYA SHULE YA MSINGI WAPI NA WAPI?!?!
Halafu cheti cha msingi kina tija gani???
 
kwa kweli ndugu yangu umenena! Haka kawimbo ka uhakiki kiitikio chake hata hakitii radha, na sijui utaisha lini maana MB zake ni endless, nishahakikiwa Mara ya kwanza May 2016, nikahakikiwa Mara ya pili July 2016 na bado naambiwa natakiwa kuhakikiwa mara ya 3! Huu ni mwiba zuga zuga hii sijui italeta tija gani kwa maisha ya mtumishi wa uma, jamani tumechoka mlisema mkituhakiki nyongeza zitakuja hebu tuleteeni kwanza hizo nyongeza then mengine yaendelee au mnataka tuanguke tuzimie ndo mjue tuna hali mbaya!??
Ndugu uanguke na uzimie kwa sababu ya Uhakiki....!!!???+
Kumbe wewe ndio wale wa Noble Gas aka ghost workers....
Halafu ulivobingwa uhakiki mara 2 bado umetoboa ndio maana hutaki uhakiki ufanyike mara ya tatu...!!!!
Hakuna namna kama bado wapo, tunasema uhakiki uendelee tuu maana hakuna namna
 
Kweli ni usumbufu hivyo vyeti vya std 7 kwanza havipo vilikuwa havitolewi. Unajua tatizo la utawala huu wanapungukiwa na kujipanga au mipangilio na coordination pia wangekuwa wanajipanga na kuamua wanataka nini? Ndo watoe kauri c leo wanahitaji cha la saba mara ndalichako anasema hivyo havitakiwi, mara leteni na vya ndoa na watoto .....lazima watumishi wachanganyikiwe
 
fanya hivi kama tayari umejenga hulipi kodi! buni biashara itayokuingizia laki 7 kwa mwezi minimum, ziwe kama 2 hivi then uchukue mkopo maximum uendelee kufanya hiyo biashara serious halafu cheti usifuate wakitaka wakufukuze mwajiri alipe mkopo
 
Kwani na wewe umezaliwa na kazi unayoifanya kwa sasa?
Kwa shule ambazo ndugu zetu watumishi wamesoma au misingi ya shule zetu zinamwandaa mwanafunzi kuajiliwa na si kujiajili na tyari umesha soma uko kazini field zingine huzijui na huna uzoefu useme waache kazi ...unafanyaje na jamaa ndo kawabana hawafurukuti kila siku kuagiza hela toka kijijini mara oooh uza ng'ombe flani kesho nyingine. Mtu kasoma hadi chuo ana master tena cjui kasoma tena CPA ana experince ya miaka 7 kazini lakini kuishi kwake mjini anategemea ng'ombe za kijijini. Ukimuuliza msharahara kumbe hata haufiki milioni moja. Lazima wachanganyikiwe
 
Back
Top Bottom