Magufuli: The Road To Hell Is Paved With Good Intentions

We unamsikiliza Lisu? Huyo sasa hivi anatukanwa na kila sane citizen. Najua imewauma sana kusikia kutakuwa na malipo watailipa Tz, sababu zile kelele zenu za Tz kuibiwa sijui shamba la bibi tunakwenda kuzizika. Na mikataba yote hadi ya gesi itapitiwa upya na kuwekwa win win situation if there was none.
Nyie sasa badala ya kumshangilia mpuuzi Lisu, mjifunze kutoka kwa Magufuli na mrekebishe mikataba yenu ya kinyonyaji kwenye migodi yenu, mnajifanyaga hamna rasilimali wakati tunajua mnazo na mnaibiwa.

Huyo jamaa yawezekana ametumwa na mwanasheria uchwara,hao ndiyo hata ukimuuliza analalamikia nini atakujibu hajui


Anapondwa na watanzania wote? Si ni nyie wana CCM damu wenye mlikuwa mkimponda tu wakati alikuwa akitoa tangazo hili kuhusu mikataba ya gesi? Wakati likuwa akilalamika hapa, pia alikuwa ametumwa na hao wakili?

 
Hawa waache, ndio show zao ambazo hazijaanza jana, huu mjadala wa madini wamezoea kuzunguka mbuyu tangu hapo awali na wataliwa sana. Ukiskliza hotuba za Tundu Lissu ndio utajua ni kamchezo fulani hao hucheza kila wakikurupuka. Wanaliwa sana kule migodini wacha haya makinikia wanapigia makelele.

Sasa kwenye huu uzi wanajitekenya tekenya na kucheka cheka ilhali hiyo kampuni ya Acacia imetoa taarifa inayokinzana na kile wanachekea. Hebu check hapa Barrick: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

img_20170614_193830_623-jpg.523919

Kwa kweli baada ya kusoma majibu ya hawa jamaa, nilishindwa cha kusema nikajiuliza, kwani hawa watu wanadanganyika kiasi kipi?

Kweli wewe mtu mwenye akili unaweza kufikiri kuwa kuna kampuni ambayo inasema italipa USD 44 Billion ilhali Total revenue (Si profit) ya Acacia Mining mwaka uliopita ni 1 Billion dollars? Wao, wanafikiri kwamba mtu anaweza kuja kusema kuwa atalipa $44Billion Dollars bila hata kuitisha independent review? Kuna wakati nilikuwa kwenye Jukwaa lao la kisiasa, na wakati wowote Acacia walileta majibu, wao walishinda tu wameponda. Huyo Lissu wao akiuliza maswali, wameponda tu. Hadi nikajiuliza, kwani elimu yao iko chini aje? Au demographics za wachangiaji kwenye forums zao ni ipi? Hata hivyo, niliona wengi ambao walijaribu kuuliza maswali lakini walibaki wamezama kwenye majibu ya paid CCM bloggers kama Barbarosa . Kumbe huyu kukurupuka kwake si huku tu. Uchama umeharibu taifa hilo.
 
Anapondwa na watanzania wote? Si ni nyie wana CCM damu wenye mlikuwa mkimponda tu wakati alikuwa akitoa tangazo hili kuhusu mikataba ya gesi? Wakati likuwa akilalamika hapa, pia alikuwa ametumwa na hao wakili?


Sijasema anapondwa na wote, ni majority wanaomponda. Man! Why you so concerned about this issue in the first place, whilst you know nothing. Lisu ako poa sema ni arrogant, his arrogance comes from his law expertise, kumtusi tusi raisi na Nyerere kienyeji enyeji akijua sheria haitomdhuru na kuusema vibaya muungano wa Tz like crushing it and not correcting it will finish him politically, mtashuhudia. He should change his tone of message deliverance, this acacia scandal should alert him, hadi Lowasa boss wao kaamua kujitokeza na kumsifia Magufuli kwa hatua alizochukua, anatambua Lisu amebugi na akikaa kimya itatafsiriwa ni maamuzi ya chadema, Lisu was in his own, sasa naona kaamua kukituliza, watu tunasonga mbele MTU analalamikia serikali zilizopita, we angalia clips zake akiongea anavyokunja paji ya uso wake.
 
Sijasema anapondwa na wote, ni majority wanaomponda. Man! Why you so concerned about this issue in the first place, whilst you know nothing. Lisu ako poa sema ni arrogant, his arrogance comes from his law expertise, kumtusi tusi raisi na Nyerere kienyeji enyeji akijua sheria haitomdhuru na kuusema vibaya muungano wa Tz like crushing it and not correcting it will finish him politically, mtashuhudia. He should change his tone of message deliverance, this acacia scandal should alert him, hadi Lowasa boss wao kaamua kujitokeza na kumsifia Magufuli kwa hatua alizochukua, anatambua Lisu amebugi na akikaa kimya itatafsiriwa ni maamuzi ya chadema, Lisu was in his own, sasa naona kaamua kukituliza, watu tunasonga mbele MTU analalamikia serikali zilizopita, we angalia clips zake akiongea anavyokunja paji ya uso wake.

Kile yafaa ujue ni kuwa Truth is not democratic. Wengi wa wananchi ni wakudanganywa tu. Kwa kawaida watu hawapendi kusoma na kufikiri. Wanapenda slogans, na vishasha. Tatizo la wananchi, wanachukia "Arrogance" kushinda wizi. Yaani mwizi mpole aweza kupigiwa kura kushinda mwenye haki "Arrogant".

Kwa hayo maswali ambayo Lissu amejibu, ni lipi lililomtusi Rais? Kwanini basi Rais asiwe mtu wa kuearn heshima kila mara anamponda Lissu? Mtu mwenye anataka aheshimiwe, ni lazima naye awaheshimu wengine. Sio eti yeyote anayekupinga unamwita mpiga dili.
 
Barrick’s Acacia Mining and Tanzania agree to talks over taxes and exports
Fumbuka Ng’wanakilala and David Lewis


DAR ES SALAAM/NAIROBI — Reuters

Published Wednesday, Jun. 14, 2017 10:16AM EDT

Last updated Wednesday, Jun. 14, 2017 10:42AM EDT

Acacia Mining and Tanzanian have agreed to talks to try to settle a festering dispute over taxes, royalties and exports, sending shares in the gold mining company higher.

London-listed shares in Acacia, which is majority owned by Canada’s Barrick Gold Corp., jumped as much as 11 per cent to 303 pence and were 7.7 per cent higher at 1436 GMT, outpacing sector rivals.

Acacia’s market value has nearly halved to about $1.4-billion since Tanzania banned the export of unprocessed ore in March, part of a push for the construction of a local smelter to make the country’s gold exports more valuable.

In a memo to employees dated June 13 rejecting Tanzania’s claims, Acacia Chief Executive Officer Brad Gordon said the firm’s “very existence” had been jeopardized by the accusations.

The agreement to hold talks was reached after a meeting between Tanzanian President John Magufuli and Barrick Gold Chairman John Thornton, a statement from Magufuli’s office said.

“The company is ready to hold talks with the government of Tanzania over the payment of compensation of losses incurred by Tanzania from the company’s operations in the country,” the statement said.

It also said Thornton had agreed to cooperate with Tanzania to build a smelter in the country.

Acacia has been accused of evading taxes, under-declaring gold exports, failing to report some metals and operating in the country without a certificate of registration.

Thornton said he was optimistic a resolution would be reached and that a company team and representatives from the government would go through the details.

“I have assured the president that we are very interested in sitting down and reaching a resolution which is a win-win. A win for Tanzania, a win for Barrick and a win for our subsidiary company, Acacia,” he told reporters after the meeting.

A statement from Barrick said the ban on exports of unprocessed ore had been discussed.

Magufuli wants to reform the country’s mining industry, an important source of foreign exchange, and has launched audits of the sector, which accounts for 4 per cent of Tanzania’s gross domestic product.

A government audit of Acacia found it had 10 times more gold in containers prepared for export than it had declared and that the concentrates included a number of undeclared minerals.

Barrick’s Acacia Mining and Tanzania agree to talks over taxes and exports
 
Barrick’s Acacia Mining and Tanzania agree to talks over taxes and exports
Fumbuka Ng’wanakilala and David Lewis


DAR ES SALAAM/NAIROBI — Reuters

Published Wednesday, Jun. 14, 2017 10:16AM EDT

Last updated Wednesday, Jun. 14, 2017 10:42AM EDT

Acacia Mining and Tanzanian have agreed to talks to try to settle a festering dispute over taxes, royalties and exports, sending shares in the gold mining company higher.

London-listed shares in Acacia, which is majority owned by Canada’s Barrick Gold Corp., jumped as much as 11 per cent to 303 pence and were 7.7 per cent higher at 1436 GMT, outpacing sector rivals.

Acacia’s market value has nearly halved to about $1.4-billion since Tanzania banned the export of unprocessed ore in March, part of a push for the construction of a local smelter to make the country’s gold exports more valuable.

In a memo to employees dated June 13 rejecting Tanzania’s claims, Acacia Chief Executive Officer Brad Gordon said the firm’s “very existence” had been jeopardized by the accusations.

The agreement to hold talks was reached after a meeting between Tanzanian President John Magufuli and Barrick Gold Chairman John Thornton, a statement from Magufuli’s office said.

“The company is ready to hold talks with the government of Tanzania over the payment of compensation of losses incurred by Tanzania from the company’s operations in the country,” the statement said.

It also said Thornton had agreed to cooperate with Tanzania to build a smelter in the country.

Acacia has been accused of evading taxes, under-declaring gold exports, failing to report some metals and operating in the country without a certificate of registration.

Thornton said he was optimistic a resolution would be reached and that a company team and representatives from the government would go through the details.

“I have assured the president that we are very interested in sitting down and reaching a resolution which is a win-win. A win for Tanzania, a win for Barrick and a win for our subsidiary company, Acacia,” he told reporters after the meeting.

A statement from Barrick said the ban on exports of unprocessed ore had been discussed.

Magufuli wants to reform the country’s mining industry, an important source of foreign exchange, and has launched audits of the sector, which accounts for 4 per cent of Tanzania’s gross domestic product.

A government audit of Acacia found it had 10 times more gold in containers prepared for export than it had declared and that the concentrates included a number of undeclared minerals.

Barrick’s Acacia Mining and Tanzania agree to talks over taxes and exports


Wajinga ndio waliwao. Mnatarajia Kampuni yenye market value ya $1.4 Billion iwalipe $44 Billion? Kama hujaelewwa ni kwanini Huyo Mzungu amekuja huko, kweli wewe ni very ignorant. Huyo amekuja huko kutuliza Shares za London, ndiposa bei ikapanda. Kutakapotulia, wataanza a long-term war ambayo nyinyi na kukurupuka kwenu, hamtaweza. Hata Mkitaifisha mali yote ya Acacia iliyopo huko Tanzanania hamtafikisha 1 Billion USD. Na tena hiyo mtalipa tu mkishapelekwa Kortini. Sijui kwanini nabother na paid bloggers.
 
Wajinga ndio waliwao. Mnatarajia Kampuni yenye market value ya $1.4 Billion iwalipe $44 Billion? Kama hujaelewwa ni kwanini Huyo Mzungu amekuja huko, kweli wewe ni very ignorant. Huyo amekuja huko kutuliza Shares za London, ndiposa bei ikapanda. Kutakapotulia, wataanza a long-term war ambayo nyinyi na kukurupuka kwenu, hamtaweza. Hata Mkitaifisha mali yote ya Acacia iliyopo huko Tanzanania hamtafikisha 1 Billion USD. Na tena hiyo mtalipa tu mkishapelekwa Kortini. Sijui kwanini nabother na paid bloggers.
kabong'olee wanaume wenzio hii si Kwale Titanium..
 
Hawa waache, ndio show zao ambazo hazijaanza jana, huu mjadala wa madini wamezoea kuzunguka mbuyu tangu hapo awali na wataliwa sana. Ukiskliza hotuba za Tundu Lissu ndio utajua ni kamchezo fulani hao hucheza kila wakikurupuka. Wanaliwa sana kule migodini wacha haya makinikia wanapigia makelele.

Sasa kwenye huu uzi wanajitekenya tekenya na kucheka cheka ilhali hiyo kampuni ya Acacia imetoa taarifa inayokinzana na kile wanachekea. Hebu check hapa Barrick: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

img_20170614_193830_623-jpg.523919
Ayo matango pori wewe kibera

Barua halisi
Screenshot_20170615-114555.png
 
We unamsikiliza Lisu? Huyo sasa hivi anatukanwa na kila sane citizen. Najua imewauma sana kusikia kutakuwa na malipo watailipa Tz, sababu zile kelele zenu za Tz kuibiwa sijui shamba la bibi tunakwenda kuzizika. Na mikataba yote hadi ya gesi itapitiwa upya na kuwekwa win win situation if there was none.
Nyie sasa badala ya kumshangilia mpuuzi Lisu, mjifunze kutoka kwa Magufuli na mrekebishe mikataba yenu ya kinyonyaji kwenye migodi yenu, mnajifanyaga hamna rasilimali wakati tunajua mnazo na mnaibiwa.

Hayo makanikia yanapotoka nje, 'wataalam' wenu huwa wanayapitia na kukagua, nakumbuka hiyo ni mojawapo wa kauli za Lissu. Wenyewe mnakagua na kuruhusu yapite kwamba ni 'uchafu' tu. Leo hii mnaishia kupigia watu makelele, nimeona Barrick wamesema watawatuma wataalam wao waje wakae na 'wataalam' wenu ili kieleweke, sasa nawaza 'wataalam' wenu ni wale wale Wabongo wa siku zote ambao wameachia mnaliwa na kutafunwa kila uchao.

Leo hii kule migodini bado mnaliwa, sheria bado ni zile zile.....mna ujuha aisei.
 
Hayo makanikia yanapotoka nje, 'wataalam' wenu huwa wanayapitia na kukagua, nakumbuka hiyo ni mojawapo wa kauli za Lissu. Wenyewe mnakagua na kuruhusu yapite kwamba ni 'uchafu' tu. Leo hii mnaishia kupigia watu makelele, nimeona Barrick wamesema watawatuma wataalam wao waje wakae na 'wataalam' wenu ili kieleweke, sasa nawaza 'wataalam' wenu ni wale wale Wabongo wa siku zote ambao wameachia mnaliwa na kutafunwa kila uchao.

Leo hii kule migodini bado mnaliwa, sheria bado ni zile zile.....mna ujuha aisei.
Hujui kitu, bora utulie tu.
 
Huyu Jamaa kweli anaendesha serikali ya viwonder. Hata maandamano ya kanisa Katoliki yapigwa marufuku? Hehehe...

fb_img_1497847793588-jpg.526731
 
Huyu Jamaa kweli anaendesha serikali ya viwonder. Hata maandamano ya kanisa Katoliki yapigwa marufuku? Hehehe...

fb_img_1497847793588-jpg.526731

Dah, ila hili naona polisi wako sahihi, Bongo hivi majuzi kumetokea visa vya kigaidi na itakua hatari kwa hao Wakristo kuandamana kwenye mwezi huu wa mfungo wa ramadhan.

Halafu kule Zanzibar mapolisi wanazunguka wakimwaga chakula wanazozipata zikiuzwa kwenye migahawa. Jana kuna jamaa ameniambia wameibukia sehemu fulani inaitwa CCM, tulikua tunapenda kwenda kula hapo. Waliwakuta Wakristo wanakula kula wakatwaa vyakula vyote kwa vurugu.
 
Back
Top Bottom