Magufuli shughulikia haya kwenye elimu

motonkafu

JF-Expert Member
Dec 2, 2015
1,019
703
1. Rudisha somo la kilimo(agriculture) kwenye level zote kwa sababu ndo uti wa mgongo. Mnafundisha kilimo chuon wakati wanaolima ni form four leavers na standard seven.
2. Somo la uchumi(agriculture) liwe compusory kwenye level zote kwa sababu tuna uchumi mbovu kila mtu anatakiwa kujifunza how to deal with it.
3. Somo la biashara pia liwe la lazima kwenye level zote kwa sababu watanzania wengi wanakimbilia huko wakifeli njia nyingine za utafitaji.
4. Kule primary kuna kitu kinaitwa Maarifa ya jamii ni jipu huuwezi ukakusanya masomo matatu likaw moja. Science ijitegemee kwa sababu ni muhimu.
5. Kule secondary kwenye masomo ya literature watu wanafuta vitabu vizuri wanaleta mavitabu hayana hata literary devices. Vitabu hivi virudishwe; Things fall apart , the beautyful ones are not yet born na is it possible.
6. Tehama na stadi za kazi.

7. Wale waliojaribu kuchanganya physics na chemistry wapelekwe mahakamani manaake walituharibia mlolongo wa kusoma science kwa kipindi icho.

Nimeangalia masomo tu wadau mwaweza leta changamoto zingine.
 
1. Rudisha somo la kilimo(agriculture) kwenye level zote kwa sababu ndo uti wa mgongo. Mnafundisha kilimo chuon wakati wanaolima ni form four leavers na standard seven.
2. Somo la uchumi(agriculture) liwe compusory kwenye level zote kwa sababu tuna uchumi mbovu kila mtu anatakiwa kujifunza how to deal with it.
3. Somo la biashara pia liwe la lazima kwenye level zote kwa sababu watanzania wengi wanakimbilia huko wakifeli njia nyingine za utafitaji.
4. Kule primary kuna kitu kinaitwa Maarifa ya jamii ni jipu huuwezi ukakusanya masomo matatu likaw moja. Science ijitegemee kwa sababu ni muhimu.
5. Kule secondary kwenye masomo ya literature watu wanafuta vitabu vizuri wanaleta mavitabu hayana hata literary devices. Vitabu hivi virudishwe; Things fall apart , the beautyful ones are not yet born na is it possible.
6. Tehama na stadi za kazi.

7. Wale waliojaribu kuchanganya physics na chemistry wapelekwe mahakamani manaake walituharibia mlolongo wa kusoma science kwa kipindi icho.

Nimeangalia masomo tu wadau mwaweza leta changamoto zingine.

mkuu ukisahau maisha ya walimu hayo masomo hata yarudishwe na yaongezwe mia ni kazi bure,maslahi ya walimu ni muhimu sana kuangaliwa,kwa maana nyingine pamoja na hayo maboresho serikali pia iangalie namna inavyoweza kurudisha posho kwa walimu
 
kuhusu somo LA kingereza itengwe miezi miwili ya mwanzo(kidato cha kwanza) ile linafundishw somo moja tu LA kingereza hapo itamjengea mwanafunzi msingi mzur wa kingereza!
 
Wazo la kijinga ila la msingi sana ukifikiria in long term basis!!
Big up mkuu
 
ikiwezekana wanafunzi wawe wanakunywa chai shule pamoja na mikate.
Wanaosoma bwen ilo mnasemaje?
 
Ni Wazo zuri sana. Pia angeangalia Muda wa Kuajiri Walimu, Yaani ingekuwa Mwezi wa Kwanza ili Wanafunzi Pale wanapofungua Shule, waanze na walimu wao...kuondokana na usumbufu kwa wanafunzi kubadilishiwa Walimu mara kwa mara kipindi ajira zinapochelewa.
 
Back
Top Bottom