Mr Adam Gella
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,327
- 664
Vumilieni Bandugu Mwaka jana 2014 Tumekula kitaa balaa..Nilihitimu Pale udsm July 04 2014..mahafali nikafanya November 15 Ajira nikapata May mwaka huu 2015 Mshahara wa Kwanza nikaanza kupata September 2015 !!
Naidai serikali Mishahara ya miezi mi 4 madeni ambayo yamesababishwa na Uzembe wa aliekua anakaimu Nafasi ya Afisa utumishi wilaya Ikungi singida nilipopangwa (bila ya kupachagua) baada ya kuchelewa kutuma taarifa zangu pahala husika ili niingizwe kwenye payroll,,!!Sjui nalipwa lini labda Mr Pombe anavyobana matumizi huenda Hazina wakanikumbuka
..
Kazi Mazingira ni magumu,,Mshahara wenyewe ndo kama huo.,,Huduma duni za afya,,Upatikanaji duni wa maji(ya chumvi visimani...yanapaushaje??),,ukosefu wa umeme,,so waalimu wapya mue tayari kupokea changamoto hizi..vinginevyo mtaanza kulialia tu Halmashauri...
Navutia miaka mi3 nitimize masharti Ajirani nirudi tena Mlimani kupigana na Masters katika kada tofauti na Elimu...Bado sijaridhika...hii ni kama njia tu ya kutokeaa..Waalimu msibweteke!!
Naidai serikali Mishahara ya miezi mi 4 madeni ambayo yamesababishwa na Uzembe wa aliekua anakaimu Nafasi ya Afisa utumishi wilaya Ikungi singida nilipopangwa (bila ya kupachagua) baada ya kuchelewa kutuma taarifa zangu pahala husika ili niingizwe kwenye payroll,,!!Sjui nalipwa lini labda Mr Pombe anavyobana matumizi huenda Hazina wakanikumbuka
..
Kazi Mazingira ni magumu,,Mshahara wenyewe ndo kama huo.,,Huduma duni za afya,,Upatikanaji duni wa maji(ya chumvi visimani...yanapaushaje??),,ukosefu wa umeme,,so waalimu wapya mue tayari kupokea changamoto hizi..vinginevyo mtaanza kulialia tu Halmashauri...
Navutia miaka mi3 nitimize masharti Ajirani nirudi tena Mlimani kupigana na Masters katika kada tofauti na Elimu...Bado sijaridhika...hii ni kama njia tu ya kutokeaa..Waalimu msibweteke!!