msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Majanga yaliyoikuta Tanzania nchi yake hususani Bukoba na ajali ya MV Nyerere,Rais wetu hakuonyesha kuguswa na matatizo hayo na badala yake alitamka hivi.
"Serikali haijaleta tetemeko Kwa hiyo tetemekeni kujenga nyumba zenu "
Baada ya kauli hiyo michango yote ya wahanga ikaishia mikonomi mwa Serikali.
Na hata MV Nyerere michango pia iliishia mikononi mwa serikali na ikaamriwa itumike kujenga zahanati badala ya kuwafikia walengwa.
Siku hazigandi Jirani zetu yamewakuta matatizo na serikali imepeleka misaada bila masimango yoyote.
Ni vyema Rais Magufuli afahamu kwamba yeye si Rais wa Malawi, Zimbabwe wala Msumbiji, ni Rais wetu watanzania aliotusimanga kuwa tusipolima tutakufa njaa wakati akijua kuwa serikali haimlishi mtu ila ina wajibu wa kusaidia raia wake wakati wa shida.
2020 Tutampumzisha Magufuli kwenye sanduku la kura.
Nawaona wafuasi wa CCM wakija hapa Kwa hasira sana ,karibuni Vijana nahitaji mapovu yenu nidekie ofisi za ufipa.
Majanga yaliyoikuta Tanzania nchi yake hususani Bukoba na ajali ya MV Nyerere,Rais wetu hakuonyesha kuguswa na matatizo hayo na badala yake alitamka hivi.
"Serikali haijaleta tetemeko Kwa hiyo tetemekeni kujenga nyumba zenu "
Baada ya kauli hiyo michango yote ya wahanga ikaishia mikonomi mwa Serikali.
Na hata MV Nyerere michango pia iliishia mikononi mwa serikali na ikaamriwa itumike kujenga zahanati badala ya kuwafikia walengwa.
Siku hazigandi Jirani zetu yamewakuta matatizo na serikali imepeleka misaada bila masimango yoyote.
Ni vyema Rais Magufuli afahamu kwamba yeye si Rais wa Malawi, Zimbabwe wala Msumbiji, ni Rais wetu watanzania aliotusimanga kuwa tusipolima tutakufa njaa wakati akijua kuwa serikali haimlishi mtu ila ina wajibu wa kusaidia raia wake wakati wa shida.
2020 Tutampumzisha Magufuli kwenye sanduku la kura.
Nawaona wafuasi wa CCM wakija hapa Kwa hasira sana ,karibuni Vijana nahitaji mapovu yenu nidekie ofisi za ufipa.
Umeweka povu kidogo mno vyoo vya ufipa bado vinahitaji povu jingi, haya Leta tena povu ,Kwa hiyo 2020 hakutakuwa na uchaguzi, hebu niambie Mataga weweUlipomalizia na Mambo ya Kura ndo nikajua Kumbe lukapuku fulani linaloandika kinyume nyuma badala ya mbele.
Anayempenda KIKI ni jiwe au mtoa mada ?Kiki, do you love me
Are you riding, say you'll never ever leave
From beside me, 'cause I want ya, and I need ya
And I'm down for you always
KB, do you love me
Drake - In My Feelings
Hapo kwenye KIKI kazia
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa Kosovo ana roho chafu roho mbaya destructive energy by nature utadhani akuzaliwa na mwanamke, shida imeanzia kwenye malezi duni, mwanamke yeyeto akiteleza kwenye malezi mtoto akiwa mkubwa ugeuka laana na si BARAKA kwa watu wake
One of the best
- Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! - JamiiForums
- Magufuli Kama Nyerere: Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni Kazi Tuu, Ila Pia sio Kama Nyerere! - JamiiForums
- Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A Man of The People! - JamiiForums
- "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?" - JamiiForums
- Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli Wake, Hata Kama Uko Kinyume cha Katiba, Sera na Ilani?. - JamiiForums
Unaweza kupata picha familia ya Jiwe wanaishi vipi.
Kuna aina fulani ya watu ambao hupendi kuonekana wema kwa watu wa nje ambao hawana ukaribu nao wakati huo huo familia zao zikiwa zinataabika. Jiwe anaangukia kwenye kundi la watu wa aina hiyo i.e wapenda sifa na wapenda kuonekana.
Kwetu nyegeziMajanga yaliyoikuta Tanzania nchi yake hususani Bukoba na ajali ya MV Nyerere,Rais wetu hakuonyesha kuguswa na matatizo hayo na badala yake alitamka hivi.
"Serikali haijaleta tetemeko Kwa hiyo tetemekeni kujenga nyumba zenu "
Baada ya kauli hiyo michango yote ya wahanga ikaishia mikonomi mwa Serikali.
Na hata MV Nyerere michango pia iliishia mikononi mwa serikali na ikaamriwa itumike kujenga zahanati badala ya kuwafikia walengwa.
Siku hazigandi Jirani zetu yamewakuta matatizo na serikali imepeleka misaada bila masimango yoyote.
Ni vyema Rais Magufuli afahamu kwamba yeye si Rais wa Malawi, Zimbabwe wala Msumbiji, ni Rais wetu watanzania aliotusimanga kuwa tusipolima tutakufa njaa wakati akijua kuwa serikali haimlishi mtu ila ina wajibu wa kusaidia raia wake wakati wa shida.
2020 Tutampumzisha Magufuli kwenye sanduku la kura.
Nawaona wafuasi wa CCM wakija hapa Kwa hasira sana ,karibuni Vijana nahitaji mapovu yenu nidekie ofisi za ufipa.
Ni sahihi kabisa, kwa sababu imekuwa ni mazoea ya kudharau chako na kuthamini cha mwenzio.Mayalla, hebu tuongelee huu uzi hapa, tulipopatwa na majanga alichokifanya kwetu, walipopatwa na majanga alichokifanya kwao.... NI SAHIHI KAMA KIONGOZI?
Majanga yaliyoikuta Tanzania nchi yake hususani Bukoba na ajali ya MV Nyerere,Rais wetu hakuonyesha kuguswa na matatizo hayo na badala yake alitamka hivi.
"Serikali haijaleta tetemeko Kwa hiyo tetemekeni kujenga nyumba zenu " Baada ya kauli hiyo michango yote ya wahanga ikaishia mikonomi mwa Serikali.
Na hata MV Nyerere michango pia iliishia mikononi mwa serikali na ikaamriwa itumike kujenga zahanati badala ya kuwafikia walengwa.
Siku hazigandi Jirani zetu yamewakuta matatizo na serikali imepeleka misaada bila masimango yoyote.
Ni vyema Rais Magufuli afahamu kwamba yeye si Rais wa Malawi, Zimbabwe wala Msumbiji, ni Rais wetu watanzania aliotusimanga kuwa tusipolima tutakufa njaa wakati akijua kuwa serikali haimlishi mtu ila ina wajibu wa kusaidia raia wake wakati wa shida.
2020 Tutampumzisha Magufuli kwenye sanduku la kura.
hili la kwenye nyumba zetu ni afadhali kwakuwa athari ikitokea ni yako wewe na familia yako.Ni sahihi kabisa, kwa sababu imekuwa ni mazoea ya kudharau chako na kuthamini cha mwenzio.
Hata Ben Mkapa hakuwahi kufanya interview za one-2-one na waandishi wetu, au kwenye media zetu, lakini akienda huko nje, one-2-one za kumwaga na media za nje.
Hata kwenye nyumba zetu, watu wanamaliza mabucha kubadili mboga lakini nyama ni ile ile.
P