My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Majanga yaliyoikuta Tanzania nchi yake hususani Bukoba na ajali ya MV Nyerere,Rais wetu hakuonyesha kuguswa na matatizo hayo na badala yake alitamka hivi.
"Serikali haijaleta tetemeko Kwa hiyo tetemekeni kujenga nyumba zenu " Baada ya kauli hiyo michango yote ya wahanga ikaishia mikonomi mwa Serikali.
Na hata MV Nyerere michango pia iliishia mikononi mwa serikali na ikaamriwa itumike kujenga zahanati badala ya kuwafikia walengwa.
Siku hazigandi Jirani zetu yamewakuta matatizo na serikali imepeleka misaada bila masimango yoyote.
Ni vyema Rais Magufuli afahamu kwamba yeye si Rais wa Malawi, Zimbabwe wala Msumbiji, ni Rais wetu watanzania aliotusimanga kuwa tusipolima tutakufa njaa wakati akijua kuwa serikali haimlishi mtu ila ina wajibu wa kusaidia raia wake wakati wa shida.
2020 Tutampumzisha Magufuli kwenye sanduku la kura.
"Serikali haijaleta tetemeko Kwa hiyo tetemekeni kujenga nyumba zenu " Baada ya kauli hiyo michango yote ya wahanga ikaishia mikonomi mwa Serikali.
Na hata MV Nyerere michango pia iliishia mikononi mwa serikali na ikaamriwa itumike kujenga zahanati badala ya kuwafikia walengwa.
Siku hazigandi Jirani zetu yamewakuta matatizo na serikali imepeleka misaada bila masimango yoyote.
Ni vyema Rais Magufuli afahamu kwamba yeye si Rais wa Malawi, Zimbabwe wala Msumbiji, ni Rais wetu watanzania aliotusimanga kuwa tusipolima tutakufa njaa wakati akijua kuwa serikali haimlishi mtu ila ina wajibu wa kusaidia raia wake wakati wa shida.
2020 Tutampumzisha Magufuli kwenye sanduku la kura.