WAITARA
Member
- Sep 23, 2013
- 68
- 37
Kwenye bajeti ya Mwaka 2014/2015 Waziri Magufuri akisoma bajeti hiyo alisema kwamba atajenga barabara ya Banana Kitunda,Kitunda Kivule na Kivule Msongola kwa kiwango cha lami.lakini hadi naandika hapa hakuna kilichofanyika na Ikonga kuna Mbunge Mwaiposa na Meya Jerry wamekaa kimya na sasa wanatoa rushwa wote wakitaka Ubunge.
Hata hivyo kwa kuwa njia hii imeharibika sana nasubiri mvua ili tuondoe mashimo na makorongo yote ila nawaomba wana Ukonga ikifika kwenye uchaguzi na wawili hao yupo miongoni mwa wagombea kumbuka kuwaadhibu kwa mateso haya makubwa.Toa adhabu kwa Ccm na washirika wao.
Hata hivyo kwa kuwa njia hii imeharibika sana nasubiri mvua ili tuondoe mashimo na makorongo yote ila nawaomba wana Ukonga ikifika kwenye uchaguzi na wawili hao yupo miongoni mwa wagombea kumbuka kuwaadhibu kwa mateso haya makubwa.Toa adhabu kwa Ccm na washirika wao.