Dr Magufuli ni kama mungu mdogo yaani kwenye psychology wanasema ni miniature God mana tamko lake linanguvu Alitamka kuwa Madawati yametengenezwa kwa mda mfupi, No ongezeko la Mishahara imewezekana pamoja na kuwa kila Mfanyakazi wa Umma hujaza mkataba ambao hutamka yakuwa kila July kutakuwa na ongezeko la mshahara yaani ( Increments) ila yeye kavunja huo mkataba Je kunamahari anaweza kushitakiwa nani wakili mzuri tum SUE Magufuli...?