Unafiki wake Mwingine:
SIKU YA KUHUTUBIA BUNGE:
Suala La Zanzibar tutalishughulikia na
tutalimaliza haraka.....
SIKU YA XMAS:
Kama nilivyoahidi bungeni
suala la Zanzibar tutalimaliza
karibuni
SIKU YA WAZEE WA MKOA
WA DAR:
Suala la Zanzibar hatuwezi
kuliingilia kwasababu tume
huru na haiwezi kuingiliwa na
chombo chochote...
Hujitambui. Hayo maneno yapo ktk majira tofauti. kwa sasa tume imesha tangaza tarehe ya uchaguzi.Unafiki wake Mwingine:
SIKU YA KUHUTUBIA BUNGE:
Suala La Zanzibar tutalishughulikia na
tutalimaliza haraka.....
SIKU YA XMAS:
Kama nilivyoahidi bungeni
suala la Zanzibar tutalimaliza
karibuni
SIKU YA WAZEE WA MKOA
WA DAR:
Suala la Zanzibar hatuwezi
kuliingilia kwasababu tume
huru na haiwezi kuingiliwa na
chombo chochote...
Kama hujui acha kuandika. nani kakwambia ni bil 7 zilizo okolewa kwenye sherehe za uhuru.. ukimwi na safari.Lol!....naona umeuweka unafiki pembeni kabisa na umeamua kumpa za uso wazi wazi na kumwita "MNAFIKI"
Ni kweli ni mnafiki na kila kinachofanyika ni cha kinafiki tu hata tumbua majipu ni unafiki kwa kwenda mbele
Kwa sababu huyu jamaa angekuwa si mnafiki kweli, angeshatumbua jipu kubwa la Tegeta Escrow Account na angeweza kusababisha ktk eneo hilo tu kupata zaidi Tshs bilion mia moja na ushee na wahusika kuanza kunyea madebe Segerea au Ukonga!
Eti kwa unafiki wake, anajivunia kuokoa 7bn kwenye sherehe za uhuru, ukimwi na kuzuia safari. Hivi 320bn (za Escrow scandal) na hii 7bn ni wapi na wapi kama si unafiki tu?
Kabla ya Kuzungumza dhumuni Kubwa La Post Hii Napenda Niweke wazi Kuwa, Kwa Miaka Mingi, Kuwashinda hata wengi wa wanaCCM, Nilitambua Uwezo Mkubwa wa Magufuli wa Kufanya Kazi. Nilikuwa na Shukurani Kubwa sana Kwa Magufuli kwa Upendo wake kwa Watanzania na Watanzania. Nilimpenda zaidi Kwa Tabia yake ya Kutokumwogopa yeyote.
Bahaati Mbaya sana Magufuli anatabia Moja mbaya, Ni Mnafiki, sio Mkweli Kama anavyosema "Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu" Inapofikia Katika Maswala ya Siasa Magufuli sio mkweli wala mwenye haki, inayofanana na Magufuli wa Ujenzi wa Taifa na Huduma za Jamii.
Unafiki wa wazi ni Pale aliposisitiza Kuwa ati Majaji walimwambia Kuwa Hawana haja ya Kuonekana Live, akiwa anaweka dhana Kuwa Majaji wanamuunga Mkono kwa Kuingilia Utendaji wa Bunge. Swala la Kukatisha matangazo ya TBC ilikuwa ni kwa Lengo la Kuubana Upinzani Bungeni na Kuruhusu Uonevu. Kusema Vinginevyo Ni Unafiki,
Swala Lingine Lilikuwa Ni swala la Zanzibar, Magufuli anajua wazi, Kikwete na Mkapa, walishinikiza Jecha Kufuta matokeo kwa Maslahi ya CCM, Magufuli anajua kuwa NEC, na ZEC sio Tume Huru. Magufuli anajua Uhuni Uliotendeka Zanzibar, Kwa yeye Kujifanya Jecha alifanya maamuzi yake Kikatiba Ni Unafiki.
Watu wanasahau Kuwa Sio Madictator wote Ni wa Aina ya Mobutu, Wengine walikuwa Madictator wa Kuchaguliwa na Watu waoliwaabudu, Madictator hao walikuwa Tayari kutoa damu yao Kuwapa watu wao Wainywe kama wana Kiu. Lakini kwenye Ukubwa wangemtoa yeyote Roho. Mfano halisi alikuwa ni Adolf Hitler. I hope Magufuli Ataacha Unafiki When it comes to Politic.
Mnamjua Mpanju yule Jamaa wa Bunge la Katiba, sasa Hivi kapewa Ukubwa Kwenye Wizara ya Sheria na Katiba.
Mnamkumbuka Makonda na siasa zake za maji taka, Naye Pia alikuwa Kwenye Bunge la Katiba, Magufuli sasa anampa Chapuo
Naaamini hata Bi Asha Bakari asingefariki, angepewa Madaraka Makubwa Kwa Kumtukana Jusa Bungeni! Huyo Ndiye Magufuli Mwanasiasa!
Sikiliza Maneno Yake Katika Sherehe za CCM, Msikilize Mpka Mwisho, Kuna Mahali aliropoka Ukweli, Kuonyesha Zanzibar ilikuwa Ni "Kukataa Kutawaliwa"
Escrow muwalaumu waliongia mikataba michafu ya Tanesco kuuziwa umeme na magenerator ya mafisadi wakati Tanesco wanauwezo wakutosha wakununua magenerator yao wenyewe. IPTL wana mkataba wakuwauzia umeme Tanesco Tanesco lazima iwalipeLol!....naona umeuweka unafiki pembeni kabisa na umeamua kumpa za uso wazi wazi na kumwita "MNAFIKI"
Ni kweli ni mnafiki na kila kinachofanyika ni cha kinafiki tu hata tumbua majipu ni unafiki kwa kwenda mbele
Kwa sababu huyu jamaa angekuwa si mnafiki kweli, angeshatumbua jipu kubwa la Tegeta Escrow Account na angeweza kusababisha ktk eneo hilo tu kupata zaidi Tshs bilion mia moja na ushee na wahusika kuanza kunyea madebe Segerea au Ukonga!
Eti kwa unafiki wake, anajivunia kuokoa 7bn kwenye sherehe za uhuru, ukimwi na kuzuia safari. Hivi 320bn (za Escrow scandal) na hii 7bn ni wapi na wapi kama si unafiki tu?
Kwani kwa sasa ameponda safari za Kikwete...?!Magufuli halisi msikilize alipokuwa waziri alivyosifia safari za nje za Kikwete...
halafu mtazame na sasa
So tume inaweza kuamua chochote kile na hakuna wa kuwaambia kitu chochote kile na hiyo iko kisheria?Mtazungumza maneno mengi na vijembe vingi lakini ukweli ni kwamba Rais hana mamlaka kisheria kuingilia maamuzi ya tume ya Uchaguzi, iwe NEC au ZEC. Tume hizi zina mamlaka huru yasiyohojiwa na rais yeyote. Iwe zimefanya maamuzi mabovu au zimefanya maamuzi manzuri rais hawezi kuizingilia kisheria.