Umalizwaji wa suala la Zanzibar ni kwa kurudia uchaguzi na wala si kwa rais kuvunja katiba na kuingilia mamlaka ya tume.
Unafiki wa CHADEMA ni baada ya kujua watanzania hata ukihubiri ufisadi kwao si issue na ushahidi ni kura alizopata Lowassa na kurudi Bungeni kwa Chenge,Ngeleja na Tibaijuka na sasa Chenge ndio mwenyekiti mmojawapo wa Bunge.Hakuna wanafiki kama chadema.
Mtu walietuaminisha kuwa ni fisadi kwa miaka nane,ndani ya mwezi tu kawa mgombea wao wa urais!
Siyo Jecha pekee hata wewe ana mamlaka ya kukulinda kama hujaleta fyokofyoko lakini hata ukileta fyokofyoko ukapalekwa gerezani, Rais ana mamlaka pia ya kukulinda ukiwa gerezani.
Kwani kwa sasa mgogoro wa Zanzibar haumalizwi? Au unadhani ataumaliza kwa kutumia fikra zako?
By the way, unafahamu muundo wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar?
Unafahamu ni kina nani waliopendekeza huo muundo wa Tume ya Uchaguzi (ZEC)?
Fanya kwanza utafiti kabla hujaleta hoja ambazo hazina misingi ya hoja
Mkuu jifunze kutofautisha kati ya vyama na katiba ya nchi. Mie nazungumzia katiba ya nchi na si mambo ya vyama hapa. NEC na ZEC zimewekwa na katiba ya nchi na si vyama.
Mkuu naona tayali lakini nashauri ununue ndimu tu halafu usichelewe kuchukua kipima na vipimo vingine.
Kabla ya Kuzungumza dhumuni Kubwa La Post Hii Napenda Niweke wazi Kuwa, Kwa Miaka Mingi, Kuwashinda hata wengi wa wanaCCM, Nilitambua Uwezo Mkubwa wa Magufuli wa Kufanya Kazi. Nilikuwa na Shukurani Kubwa sana Kwa Magufuli kwa Upendo wake kwa Watanzania na Watanzania. Nilimpenda zaidi Kwa Tabia yake ya Kutokumwogopa yeyote.
Bahaati Mbaya sana Magufuli anatabia Moja mbaya, Ni Mnafiki, sio Mkweli Kama anavyosema "Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu" Inapofikia Katika Maswala ya Siasa Magufuli sio mkweli wala mwenye haki, inayofanana na Magufuli wa Ujenzi wa Taifa na Huduma za Jamii.
Unafiki wa wazi ni Pale aliposisitiza Kuwa ati Majaji walimwambia Kuwa Hawana haja ya Kuonekana Live, akiwa anaweka dhana Kuwa Majaji wanamuunga Mkono kwa Kuingilia Utendaji wa Bunge. Swala la Kukatisha matangazo ya TBC ilikuwa ni kwa Lengo la Kuubana Upinzani Bungeni na Kuruhusu Uonevu. Kusema Vinginevyo Ni Unafiki,
Swala Lingine Lilikuwa Ni swala la Zanzibar, Magufuli anajua wazi, Kikwete na Mkapa, walishinikiza Jecha Kufuta matokeo kwa Maslahi ya CCM, Magufuli anajua kuwa NEC, na ZEC sio Tume Huru. Magufuli anajua Uhuni Uliotendeka Zanzibar, Kwa yeye Kujifanya Jecha alifanya maamuzi yake Kikatiba Ni Unafiki.
Watu wanasahau Kuwa Sio Madictator wote Ni wa Aina ya Mobutu, Wengine walikuwa Madictator wa Kuchaguliwa na Watu waoliwaabudu, Madictator hao walikuwa Tayari kutoa damu yao Kuwapa watu wao Wainywe kama wana Kiu. Lakini kwenye Ukubwa wangemtoa yeyote Roho. Mfano halisi alikuwa ni Adolf Hitler. I hope Magufuli Ataacha Unafiki When it comes to Politic.
Mnamjua Mpanju yule Jamaa wa Bunge la Katiba, sasa Hivi kapewa Ukubwa Kwenye Wizara ya Sheria na Katiba.
Mnamkumbuka Makonda na siasa zake za maji taka, Naye Pia alikuwa Kwenye Bunge la Katiba, Magufuli sasa anampa Chapuo
Naaamini hata Bi Asha Bakari asingefariki, angepewa Madaraka Makubwa Kwa Kumtukana Jusa Bungeni! Huyo Ndiye Magufuli Mwanasiasa!
Sikiliza Maneno Yake Katika Sherehe za CCM, Msikilize Mpka Mwisho, Kuna Mahali aliropoka Ukweli, Kuonyesha Zanzibar ilikuwa Ni "Kukataa Kutawaliwa"
[/QUOTE
Sijakuelewa una maanisha nn hivi tofauti za kimamlaka kati ya taasisi moja na nyingine huzijui
Bosi ipo hivi, maumuzi ya tume hayaingiliwi na mtu yoyote. Rais hana mamlaka hayo. Hivyo hata tume wakifanya maamuzi ya kipuuzi rais hawezi kuingilia. Ndivyo katiba invyosema.Kurudia uchaguzi wote (Rais, wabunge, madiwani..) katika majimbo yote hata Unguja ambapo hakuna "faulo" yoyote iliyoripotiwa?
Unafiki wake Mwingine:
SIKU YA KUHUTUBIA BUNGE:
Suala La Zanzibar tutalishughulikia na
tutalimaliza haraka.....
SIKU YA XMAS:
Kama nilivyoahidi bungeni
suala la Zanzibar tutalimaliza
karibuni
SIKU YA WAZEE WA MKOA
WA DAR:
Suala la Zanzibar hatuwezi
kuliingilia kwasababu tume
huru na haiwezi kuingiliwa na
chombo chochote...
Upumbavu mwingine bhana.....cjui ni lini utaacha kufikiri kwa. makalioSiyo bure umerogwa pole sana mzee wa shanga.
Lowassa keshasema hataki malumbano. Kwa hiyo acha kumchanganya kwenye hoja zako mfu.Kwa unafiki wake hata ameshindwa kumkamata Edward Lowassa...
Nani amekuambia ninabishana na wewe?Magufuli hana Uwezo wa Kunipeleka Gerezani Kwa Mambo ya Kijinga. Magufuli Ni Mnafiki Ndicho Nilichosema, Yeye anajua, Wenye akili wanajua, sasa Kama wewe hutaki Ukweli Hiyo ni Shida yako am Busy Sibishani na Kisiki, Upo!
Asante sana!Ila anamamlaka ya Kumlinda Jecha Kama Vile amekuwa ni Mfalme Abdullah. To Me Mtu Mnafiki hata Kama Akijito ngozi yake Nivae wakati wa Baridi, Simhitaji. Hata Magufuli Mwnyewe alishasema, Bora Mchawi anayekuloga Unakufa Kuliko Mnafiki. MAGUFULI NI MNAFI IT IS SAD! Magufuli anania mbili zisizoendana, Kama Vile Mtu anayemtupia Kuku Mahindi Ili amkamate na Kumchinja wala haoni aibu mahindi yake Bado yako shingoni. Kama Magufuli Unamjali Mtanzania,
Jali Uhuru wake, Maamuzi Yake
Amani Yake
Afya Yake
Elimu Yake
Jali Kila Kitu
Hili La Kukataza Habari Hata Nyerere alikatalia Television, Huku yeye akiwa na TV ya Ungo Ikulu na Msasani. Ni Rahisi sana Kumtawala asiyeona Kinaachoendelea.
Tofautisha kati ya maamuzi ya ZEC na Jecha.Mtazungumza maneno mengi na vijembe vingi lakini ukweli ni kwamba Rais hana mamlaka kisheria kuingilia maamuzi ya tume ya Uchaguzi, iwe NEC au ZEC. Tume hizi zina mamlaka huru yasiyohojiwa na rais yeyote. Iwe zimefanya maamuzi mabovu au zimefanya maamuzi manzuri rais hawezi kuizingilia kisheria.