britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,211
- 41,788
RAIS BORA AFRICA
Leo tukipewa nafasi ya kuchagua kiongozi bora Africa na duniani. Nitakuchagua Rais wangu Mhe. Dr. John Joseph Pombe Magufuli. Sababu za kukuchagua;
1. Mpaka hivi sasa umerejesha thamani ya utumishi wa umma.
2. Umepambana na mafisadi na wabadhirufu kwa vitendo
3. Umetekeleza sera ya viwanda kwa vitendo.
4. Umeboresha miundo mbinu (fly overs zinajengwa, Standard gauge kwa Upande wa Reli, maboresho ya viwanja vya ndege na shirika la ATCL)
5. Umetekeleza ahadi ya Elimu bure kwa vitendo.
Hizi sababu 5 kila moja inazaa faida zaidi ya 20. Hivyo tunayo sababu kubwa ya kukuamini na kukupenda.
Watanzania pamoja na maboresho hayo bado nchi yetu ina changamoto nyingi ambazo ili tukabiliane nazo tunahitaji ushiriki wetu kwa kuiunga mkono serikali yetu. Hata nchi Zenye uchumi mkubwa kama Marekani hazikosi Changamoto na ndo maana zina vyama vya upinzani. Changamoto hizo haziwafanyi waandamane au kuitukana serikali Yao. Changamoto zao ndo zinawaunganisha na kuwafanya kuwa taifa lenye nguvu duniani. Hivyo lazima kama taifa tuisaidie serikali yetu katika utatuzi wa Changamoto zinazotukabili
Leo tukipewa nafasi ya kuchagua kiongozi bora Africa na duniani. Nitakuchagua Rais wangu Mhe. Dr. John Joseph Pombe Magufuli. Sababu za kukuchagua;
1. Mpaka hivi sasa umerejesha thamani ya utumishi wa umma.
2. Umepambana na mafisadi na wabadhirufu kwa vitendo
3. Umetekeleza sera ya viwanda kwa vitendo.
4. Umeboresha miundo mbinu (fly overs zinajengwa, Standard gauge kwa Upande wa Reli, maboresho ya viwanja vya ndege na shirika la ATCL)
5. Umetekeleza ahadi ya Elimu bure kwa vitendo.
Hizi sababu 5 kila moja inazaa faida zaidi ya 20. Hivyo tunayo sababu kubwa ya kukuamini na kukupenda.
Watanzania pamoja na maboresho hayo bado nchi yetu ina changamoto nyingi ambazo ili tukabiliane nazo tunahitaji ushiriki wetu kwa kuiunga mkono serikali yetu. Hata nchi Zenye uchumi mkubwa kama Marekani hazikosi Changamoto na ndo maana zina vyama vya upinzani. Changamoto hizo haziwafanyi waandamane au kuitukana serikali Yao. Changamoto zao ndo zinawaunganisha na kuwafanya kuwa taifa lenye nguvu duniani. Hivyo lazima kama taifa tuisaidie serikali yetu katika utatuzi wa Changamoto zinazotukabili