kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Mgombea Urais kwa ticket ya CCM, leo akihutubia ktk mkutano huko Kigoma, amewaambia maana ya M4C ni Magufuli 4 Change.. Magamba mnalo mwaka huu..
Acheni ulofa na upumbafu.... Kuanzia lini Chanzo Cha Matatizo wakaazisha mabadiriko????!!!
Acheni ulofa na upumbafu.... Kuanzia liniChanzo Cha Matatizo wakaazisha mabadiriko????!!!
Ha ha ha......!Mgombea Urais kwa ticket ya CCM, leo akihutubia ktk mkutano huko Kigoma, amewaambia maana ya M4C ni Magufuli 4 Change.. Magamba mnalo mwaka huu..
Ha ha ha......!
Magufuli yuko nguoni mwenu.