Magufuli: M4C = Magufuli 4 Change

Magufuli: M4C = Magufuli 4 Change

Magufuli anajua kabisa reli ya kwenda Ikulu mwaka huu inaitwa UKAWA na treni inaitwa MABADILIKO na kwa sasa dereva wa treni hiyo ni LOWASSA.
Magufuli anachokifanya ni kudandia dandia hiyo treni ili imsogeze sozege kimtindo.
 
Ila M4C si ilishauliwa na 4U Movement...naambiwa M4C wote wameambiwa wajiunge na red brigade, waachie wazoefu wa kampeni 4U Movement
 
Maendeleo yoyote, popote pale hayawezi kuja bila mabadiliko....
Lowasa pekee ndio atabadili kila kitu
 
Magufuli amekuwa anatohoa maneno ya cdm kama hapo amesema M4C maana yake ni Magufuli 4 Change, na ile ya People's power wampe power akashughulikie mafisadi! Hahaha. Wenye hatimiliki ya M4C wanakubaliana na Magufuli?
 
Magufuli amekuwa anatohoa maneno ya cdm kama hapo amesema M4C maana yake ni Magufuli 4 Change, na ile ya People's power wampe power akashughulikie mafisadi! Hahaha. Wenye hatimiliki ya M4C wanakubaliana na Magufuli?

Akalale mbele huko anaiba hadi seraaa... tulimuambia atoroke aje huku akakataaa sasa kaishiwa hadi vibwagizo...aibuuuuu anatukopa huku
 
Pombe asipomsema lowasa hawezi kulala loh mbona october inachelewa?
 
Mgombea Urais kwa ticket ya CCM, leo akihutubia ktk mkutano huko Kigoma, amewaambia maana ya M4C ni Magufuli 4 Change.. Magamba mnalo mwaka huu..

Inaonekana Dr Magufuli anawaamini sana Ukawa.ila hawezi kusukuma gari akiwa ndani,lazima ushuke kwanza.M4C inawezekana ukiwa nje ya gari
 
Chanzo cha matatizo kuwa cnzo cha mabadiliko
asalaaalee
 
poor ccm hata aibu hawaoni wameishiwa idea
 
Back
Top Bottom