Magufuli: Lowassa siyo saizi yangu

kufulu ni mdogo sana kwa Lowasa , ndiyo maana kasema atapwelepweta. That means , Lowasa yupo juu saanaaa.
 
kweli sio saizi yake lowasa bora hata kidogo mbatia kwemba tukiweka midahalo kutasikiliza hoja za maana,
 
mamvi hata nusu page kashindwa kusoma amechoka ile Mbaya ikabidi wamwambie akakae tuu ili asidondoke bule lowasa rais laaaaaaaaaaa nahama nchi haraka tena naenda kwa nkuruzina
 
Magufuli, shut up and keep quite...!!!!

Bila Lowassa wala asingepitishwa kuwania urais CCM, kweli this guy is too low, hv alifikiria JK alikuwa anamtaka yeye..????

Omg...this is really bulldozer, hata hajui kitu... nilifikiri angemshukuru Lowassa, sbb bila wafuasi wa Lowassa kuhamishia hasira za Membe kwa Magufuli, this bulldozer asingepita hata kwa dawa...

Nilijua tu litaropoka...kweli nyani ni nyani...
 
Kiukweli ni zamu ya wapinzani wa Tanzania kuchukua nchi, Lowasa na Magufuli hawaendani. Magufuli ni mtendaji na sio kiongozi na Lowasa ni kiongozi na mtendaji. Any creaTIVITY ALIYOITOA MAGUFULI KWENYE KAZI YAKE UTAKUTA ZIRO HE IS AFTER QUANTITY AND NOT QUALITY. Lowasa ni creative na anapendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…