Kuondoa Tawala za Koo ndani ya CCM ni sawa na kujipiga risasi kifuani kuokoa pumbu zako. Ni ngumu sana.
e.g Makongoro Nyerere,Vita Kawawa, Riz Kikwete,Malima,Mwinyi,Msuya, Makamba na hivi karibuni Warioba Jr.
sijui itawezekanaje Dr.Pombe Magufuli uweze kuondoa hili la kubeba familia za viongozi ktk nafasi za utawala.
Kwa kuanzia anza na kuteua Mawaziri wasio na Majina ya Kifamilia za Kisiasa.
Tehe 😄 😄 😄 😄 🚶🏽