Magufuli kutua na chopa ifakara kesho

Magufuli kutua na chopa ifakara kesho

Mwanzilishi wa mahakama ya mafisadi aamua kula matapishi yake mwenyewe. Hatimaye aonja shubiri ya kuzunguka kwa gari. Hizo ni V8, wanazosemaga hazisikii mashimo, kachoka hivyo, je angetumia lile bus la Msomali ingekuwaje??
Jamani, tunajisemea tuuu. Hakuna njia ya kuifikia Tanzania kwa miguu 4. Chopa si ufahari, ni ubunifu tu, nao umekuwa mzuri.
Kila maneno yake Magufuli ni kujaribu kuwafedhehesha wapinzani UKAWA, ila bahati moja mbaya kwake ni kwamba, Watanzania weshajiamulia rais wao.
CCM, amuen tuingie kwenye box kesho ili kuokoa gharama hizi.
 
Kila siku ninasemaga magufuli ni kasuku anaiga hata kucheza bongo flaver je waimba taraabu ata waacha wapi maana lowassa yeye anapiga kwa dakika na sekunde kadhaaa sasa magufu adi aimbiwe taraabu ndio apate nguvu atawaacha the comedy au !?
 
Huyu jamaa amechoka sura imechoka sauti imechoka, amechoka kupita barabara za makorongo na vumbi....magufuri, hii ni round ya kwanza, nenda apolo India ukachunguze afya yako...
 
Heee! mapema yote hii si alijisifia kuwa atatumia usafiri wa bara bara hadi mwisho,imekuwaje tena?
 
maamuzi. Ya kukurupuka kama kawaida yake,atatukosti huyu mtu akiwa rais
 
Chezea Muziki wa EL jamaa atalala na viatu hizo rami zake utadhani barabara za vumbi barabara zimejaa viraka tu.
 
Atasema hakukataa kutumia chopa, bali waandishi wa habari walimnukuu vibaya.
 
Kweli nimeamini ukiwa na stress njoo jamiiforum hahahahahaha
Magufuli nadhani alikurupuka kusema vile labda alitaka watanzania tuone jasiri na yupo fiti kweli kweli halafu tukampotezea hahahahahaha
 
Walioleta chopa hawakulenga starehe,walilenga kurahisisha mambo sasa yy alidhani tupo enzi za ujima
 
Back
Top Bottom