Magufuli kutaja mafisadi leo mjini Mbeya

Magufuli kutaja mafisadi leo mjini Mbeya

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Hatimaye Dr Magufuli, mgombea urais CCM, leo anatarajia kutaja mafisadi mbalimbali wanaokwamisha maendeleo ya wanainchi katika mkutano wake wa kampeni mjini Mbeya katika uwanja wa Sokoine.

Hata hivo anatazamia kuweka wazi mikakati na hatua mbalimbali atakazochukua dhidi ya wahusika katika uongozi wake.

Dr Magufuli ataambatana na majembe wenzake hususani, Fildi Marshal Mwigulu Nchema na Dkt. Harrison Mwakyembe.


Ambapo Mwakyembe aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati ya RICHMOND ataueleza umma namna Lowasa alivyoipatia serikali hasara kupitia dili lake la RICHMOND.


Mkutano huu utarushwa live Star Tv, Azam Tv na TBC1 Kuanzia saa na 8-12 leo.
Usikose.

HAPA NI KAZI TU; UMOJA NI USHINDI
 
ataje wote waliohusika na si mmoja bila kuogopa wala kuangalia sura
 
Asikisahau kukitaja chama chake maana ndiyo chaka lililoficha majizi . mtu ambae anajijua ni mchafu lazima abakie ccm ili waendelee kumfichia maovu yake. lakini ukijua uko safi lazima utoke sababu ccm ukitoka kwao unakua adui . lowasa ni msafi ndiyo maana kajiengua na hakuna wakumsumbua .
 
Ajitaje na yeye nyumba za serikali halizowauzia mashemeji zake.


swissme
 
Atamtaja Mkapa? Si unafiki huu kwani atatukanwa kila matusi!

Atamtaja Kikwete na Ridhiwani?! Si uongo huu kwani ataondolewa kesho tu kugommbea ili awekwe Membe kwa kisingizio kawa bubu so hawezi kufanya kampeni kumbe ni moyo!

Atajitaja Magufuli mwenyewe kwa kugawa nyumba za serikali nchi nzima?! Atajitaja Mwenyewe kwa wizi wake Wizara ya Ujenzi?!

Atamtaja nani kama sio unafiki tu upuuzi wa kina Makongoro wa kusema Gongo oyee na zipu oyeee?!

Au ndio gia ya kuhadaa watu ili waende uwanjani?!
 
Hatimaye Dr Magufuli, mgombea urais CCM, leo anatarajia kutaja mafisadi mbalimbali wanaokwamisha maendeleo ya wanainchi katika mkutano wake wa kampeni mjini Mbeya katika uwanja wa Sokoine.

Hata hivo anatazamia kuweka wazi mikakati na hatua mbalimbali atakazochukua dhidi ya wahusika katika uongozi wake.

Dr Magufuli ataambatana na majembe wenzake hususani, Fildi Marshal Mwigulu Nchema na Dkt. Harrison Mwakyembe.


Ambapo Mwakyembe aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati ya RICHMOND ataueleza umma namna Lowasa alivyoipatia serikali hasara kupitia dili lake la RICHMOND.


Mkutano huu utarushwa live Star Tv, Azam Tv na TBC1 Kuanzia saa na 8-12 leo.
Usikose.

HAPA NI KAZI TU; UMOJA NI USHINDI
Hayo ndio maneno.HAPA NI KAZI TU,kama'' mnampenda fisadi mkampikie chai nyumbani kwenu''
 
Aanze na 'msfisadi' waliotusababishia kuwa na mikataba mibovu ya madini.
Halafu afuate na 'mafisadi' waliouza mashirika na makampuni ya umma kwa bei ya kutupa.
 
Shukrani Dr kwa kutoa mwanga kwa watanzania.
 
Ye mwenyewe fisadi yumba za serikali vivuko feki barabara feki.
 
Athubutu kutaja hao watu mana muguu yake imesimamia kwao. huoni anavyowasafisha.
Lowasa kaokoka kwa kujitoa huko ss anakuja kutifua kila kitu mana kona zenu zote anazijua. MNAOGOPA.
Tena jana kuna mtu Mbeya kamchokoza kwenye mic subiri jibu leo.
Nakwambiw hata magamba leo macho jangwani. HUTAKI ACHA.
 
Tehe tehe eti HAPA KAZI TU! Kwani miaka mingine kauli mbiu yenu ilikuwa HAPA UZEMBE TU? huyo John konyagi makomeo mzee wa kushangaa a.k.a mzee wa aliselema hana jipya.
 
Andrew Chenge
Prof. Tibaijuka
William Ngeleja
Prof. Muhongo
…………… mgao stanbick
 
Back
Top Bottom