Jana magufuli alipokuwa anahutubia dodoma alimuamuru Rpc dodoma apande jukwaaan na akisema hv mm c ndo nitakuwa rais bana RPC njoo hapa hapa na khagiza hakikiasha hiz msg za vitiaho alizopata aliyekuwa katib mwenez chadema dodoma unazishughulikia haya nenda kazifanyie kaz
Hoja yangu magufuli anapimuwa jukwaan na iman anakuwa hana cheo na ankuwa ni mgombea tu na co wazir je anapataje nguvu ya kumiarimsha RPC??????? Je hii ndo ile iliyokuwa ikisemwa hurka ya madaraka na kufhihirisha hawez kuwa kiongoz maaana hatendi kwa kulingana na wakati
Hoja yangu magufuli anapimuwa jukwaan na iman anakuwa hana cheo na ankuwa ni mgombea tu na co wazir je anapataje nguvu ya kumiarimsha RPC??????? Je hii ndo ile iliyokuwa ikisemwa hurka ya madaraka na kufhihirisha hawez kuwa kiongoz maaana hatendi kwa kulingana na wakati