Magufuli kumuamuru RPC Dodoma ni haki?

Magufuli kumuamuru RPC Dodoma ni haki?

yule ndo rais,sijui kwanini watu wanakuwa wazito kuelewa..

anyway hiyo style si ndo ya lowasa kipindi akiwa waziri mkuu,sasa kwa magufuli mnashangaa nini

Umeshasema alikua waziri mkuu! Huyo ni mgombea hana mamlaka kisheria.
 
Ni sawa kwa kuwa pamoja na kuwa mgombea wa kiti cha urais huyo bado ni Waziri na ana mamlaka ya kuagiza kitu kwa huyo RPC na kisheria anatakiwa kuyafanyia kazi maagizo hayo,hivyo kwa wale msiojua utaratibu uko hivyo,
 
Hata raia wa kawaida unapoona kuna mtu anatishiwa maisha una haki ya kuliamuru jeshi la polisi kuwakamata wanaotaka kutoa uhai wa mtu mwingine, hiyo ndio maana ya ulinzi shirikishi na polisi jamii wala sio tatizo. UKAWA mmeishiwa hoja tu.

bavicha wako kwenye paniki mode,wanajaribu kutafuta kila sababu kuitumia kumsema rais magufuli
 
Haya Jamani Lowassa Kule Mwanza Alisemaje Mkamsifia?Alimtuma Nini Wenje Mkamwita Huyu Ndo Rais,huyu Anafaa?
Wenye na RPC wana hadhi sawa kwa Lowasa ? Wenye ni Mbunge wa CHADEMA ambayo Lowasa ni Mgombea Urais wake, RPC ni Mteuliwa wa Rais wa JMT ambapo Magufuli sio aliyemtuea.
 
Yeye waziri anayehusika na usalama wa raia?Magufuli ni dictator

Sikiliza we Nyumbu, nimesema hivi, sio swala la uwaziri au cheo fulani tu, bali hata wewe hapo kama una uhakika na taarifa za mtu kutaka kuuawa una mamlaka ya kulipa kazi jeshi la polisi kuokoa uhai wa mtu anayetaka kudhuriwa na wahalifu. Hiyo ndio dhana nzima Ya Police jamii na ulinzi shirikishi, hebu mjitambue nyie wafuasi wa mafisadi.
 
Hata raia wa kawaida unapoona kuna mtu anatishiwa maisha una haki ya kuliamuru jeshi la polisi kuwakamata wanaotaka kutoa uhai wa mtu mwingine, hiyo ndio maana ya ulinzi shirikishi na polisi jamii wala sio tatizo. UKAWA mmeishiwa hoja tu.
Ni kutoa taarifa Mkuu, sio kuliamuru. Hebu jaribu kwenda pale Central utoe hiyo amri uone kitakachokupata.
 
Haya Jamani Lowassa Kule Mwanza Alisemaje Mkamsifia?Alimtuma Nini Wenje Mkamwita Huyu Ndo Rais,huyu Anafaa?

Wenje nin nani? wenje ni mbunge, mamlaka yake inaishia kwenye chama na mgombea anaweza kumwambia chochote. RPC ni level nyingine, hafungamani na chama na anapokea maelekezo toka kwa mamlaka sahihi. Tatizo la CCM kuwa chama dola inapelekea waamini kuwa mambo yote yanatakiwa kutumika kwa maslahi ya chama..na matokeo yake tumeyaona sana, sana, sana.
 
Umeshasema alikua waziri mkuu! Huyo ni mgombea hana mamlaka kisheria.

mmesema akiwa rais atakuwa anatoa amri za hivyo,nikasema hamna tatizo kwani hata lowasa ndo style yake kwahiyo kelele hizi hazina maana,,
kama hana mamlaka kisheria ujue atakuwa nayo wiki tatu zijazo kwahiyo hamna haja ya kulalama sana
 
Mimi nawaambia kwa maamuzi ya kukurupuka kwa magufuli vita kesho t u akiingia madarakani nchi za jirani tukiwa na mgogoro kidogo tu kashaamuru majeshi kupigana bila kufikiria economic impact yake baadae huyu mtu hana mawazo ya mbali anakalia sifa tu na pushup. Viva kikwete viva lowasa diplomatic leaders
 
Jana magufuli alipokuwa anahutubia dodoma alimuamuru Rpc dodoma apande jukwaaan na akisema hv mm c ndo nitakuwa rais bana RPC njoo hapa hapa na khagiza hakikiasha hiz msg za vitiaho alizopata aliyekuwa katib mwenez chadema dodoma unazishughulikia haya nenda kazifanyie kaz
Hoja yangu magufuli anapimuwa jukwaan na iman anakuwa hana cheo na ankuwa ni mgombea tu na co wazir je anapataje nguvu ya kumiarimsha RPC??????? Je hii ndo ile iliyokuwa ikisemwa hurka ya madaraka na kufhihirisha hawez kuwa kiongoz maaana hatendi kwa kulingana na wakati

unaandika lugha gani unayochanganya na kiswahili?
 
Wenye na RPC wana hadhi sawa kwa Lowasa ? Wenye ni Mbunge wa CHADEMA ambayo Lowasa ni Mgombea Urais wake, RPC ni Mteuliwa wa Rais wa JMT ambapo Magufuli sio aliyemtuea.

Wewe Kwani Ule Ujumbe Ulikuwa Unaenda Kwanani Kama Sio Mkurugenzi Wa Tanesco?Wenje Alitumika Kama Daraja Tu Lakini Kama Mkurugenzi Angekuwepo Pale Angemwambia Direct
 
Wenje nin nani? wenje ni mbunge, mamlaka yake inaishia kwenye chama na mgombea anaweza kumwambia chochote. RPC ni level nyingine, hafungamani na chama na anapokea maelekezo toka kwa mamlaka sahihi. Tatizo la CCM kuwa chama dola inapelekea waamini kuwa mambo yote yanatakiwa kutumika kwa maslahi ya chama..na matokeo yake tumeyaona sana, sana, sana.

Maslahi Gani Ya Chama,kumwambia Rpc Kufuatilia Ni Maslahi Ya Chama Hayo?
 
Mimi nawaambia kwa maamuzi ya kukurupuka kwa magufuli vita kesho t u akiingia madarakani nchi za jirani tukiwa na mgogoro kidogo tu kashaamuru majeshi kupigana bila kufikiria economic impact yake baadae huyu mtu hana mawazo ya mbali anakalia sifa tu na pushup. Viva kikwete viva lowasa diplomatic leaders

lowasa akiwa mwenyekiti kamati ya bunge ya ulinzi aliwahi kutangaza vita kati yetu na malawi...
 
Ok tukubali yote ni sawa...je kiutendaji ni sahihi.....??Leo Mh.Lowassa akimuita RPC wa Dar mbele ya watu na kumkabidhi clips za mitusi anayopewa afanyiye kazi itakuwa sahihi....??na kwa nini polisi haifanyii kazi mitusi inayoyemwa hadharani na pande zote au mpaka mtu apeleke malalamiko....????ONE DAY YES
 
Back
Top Bottom