Mtaka yote
Senior Member
- Nov 30, 2014
- 136
- 103
Leo Jp Magufuli atakua viwanja vya Halmashauri Bariadi jimboni kwa Andrew Chenge,jambo kubwa linasubiriwa ni namna atakavyomnadi Mtemi Chenge kw sababu kila anapopita JP anasema atapambana na wanaotajwa kua mafisadi
nitawaletea kila kitu hapa
nitawaletea kila kitu hapa