mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
wadau tatizo la kupata bahati usiyoitegemea limeanza kuonekana ...magufuli hakujiandaa kwa lolote tumezoea kila anaegombea urais anakua amejipanga ila kwa huyu mgombea ni shida ni kama mshikwa pua vile hana anachojua zaid ya kusubir jk aseme nini au apange nini au chama jk mwenyewe kutwa kusafir nje ya nchi ..kila mwana ccm yupo busy na kura za maoni ...hili ni tatizo kubwa litakalomkumba magufuli na kushindwa mchana kweupeee...hana kitengo chochote zaid ya kusubir chama kimpangie nini cha kufanya ndio mana imekua rahis kupotezwa hata kwenye media