Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 901
- 907
Tupige kampeni hata za MTU kwa MTU ,Jana nilikuwa NA Mchepuko mazungumzo yalikuwa kama ifuatayo.
Mimi. Baby umejiandikisha?!
Mchepuko: ndiyo.
Mimi: baby unanipenda?!
Mchepko: ndiyo nakupenda we Tena.
Mimi: unapenda tuish maisha gain baadae?!
Mchepko: maisha mazurii kabisa baby.
Mimi: baby unampigia nan kura mwaka huu?!
Mchepuko: mimi sipendi siasa baby hata sjui.
Mimi: nakuomba umpigie MAGUFULI KAMA UNAHTAJI TUISHI MAISHA MAZURI BAADAE.
(muda huo nimemkumbatia)
Mchepuko: kwan MAGUFULI atatuletea maisha mazuri?!
Mimi: mpenz wangu sina uhakika WA ajira, watoto wetu hawana uhakika WA kuja kusoma, baby mapenz yetu yataisha bcoz bila ajira sitaweza kukuhudumia, baby hata usome sana CHADEMA ni watu wa kaskazini na wanapeana nafasi za Kazi kwa undugu, huoni mikopo ya bank zenye kiongozi mchagga na chadema uongozi wake ulivyo
BABY MAGUFULI AMESEMA ELIMU BURE MPAKA KIDATO CHA NNE, MIKOPO KWA WANAFUNZI CHUO KIKUU, AJIRA KWA VIJANA, NA SERIKALI YAKE ITAKUA YA VIWANDA
alafu baby serkal ya MAGUFULI Itakuwa na mfumo mpya wa utawala na Atakiimarisha na kuboresha chama cha mapinduzi. MAFISADI na majizi yote hayana nafasi tena
MCHEPUKO: OHHH baby umemsahau mama Samia namkubali sana.
mimi: ehhhh baby CCM imetuonesha mabadiliko chanya hasa kwa upande wenu kinamama. Mmpata mtu anayezitambua shida zenu moja kwa moja bila kuhadithiwa.
Mchepuko: baby nitampigia kura MAGUFULIIIIIIIIIIII
Kwanza tu anamuonekano mzuri, mtanashati Na yupo imara sana.
Mimi: ok baby wambie NA rafk zako Basi ,wambie MAGUFULI NDIYE CHAGUO LA WATANZANIA WOTE.
#HAPA KAZI TU## 👍👍👍👍👍
Mimi. Baby umejiandikisha?!
Mchepuko: ndiyo.
Mimi: baby unanipenda?!
Mchepko: ndiyo nakupenda we Tena.
Mimi: unapenda tuish maisha gain baadae?!
Mchepko: maisha mazurii kabisa baby.
Mimi: baby unampigia nan kura mwaka huu?!
Mchepuko: mimi sipendi siasa baby hata sjui.
Mimi: nakuomba umpigie MAGUFULI KAMA UNAHTAJI TUISHI MAISHA MAZURI BAADAE.
(muda huo nimemkumbatia)
Mchepuko: kwan MAGUFULI atatuletea maisha mazuri?!
Mimi: mpenz wangu sina uhakika WA ajira, watoto wetu hawana uhakika WA kuja kusoma, baby mapenz yetu yataisha bcoz bila ajira sitaweza kukuhudumia, baby hata usome sana CHADEMA ni watu wa kaskazini na wanapeana nafasi za Kazi kwa undugu, huoni mikopo ya bank zenye kiongozi mchagga na chadema uongozi wake ulivyo
BABY MAGUFULI AMESEMA ELIMU BURE MPAKA KIDATO CHA NNE, MIKOPO KWA WANAFUNZI CHUO KIKUU, AJIRA KWA VIJANA, NA SERIKALI YAKE ITAKUA YA VIWANDA
alafu baby serkal ya MAGUFULI Itakuwa na mfumo mpya wa utawala na Atakiimarisha na kuboresha chama cha mapinduzi. MAFISADI na majizi yote hayana nafasi tena
MCHEPUKO: OHHH baby umemsahau mama Samia namkubali sana.
mimi: ehhhh baby CCM imetuonesha mabadiliko chanya hasa kwa upande wenu kinamama. Mmpata mtu anayezitambua shida zenu moja kwa moja bila kuhadithiwa.
Mchepuko: baby nitampigia kura MAGUFULIIIIIIIIIIII
Kwanza tu anamuonekano mzuri, mtanashati Na yupo imara sana.
Mimi: ok baby wambie NA rafk zako Basi ,wambie MAGUFULI NDIYE CHAGUO LA WATANZANIA WOTE.
#HAPA KAZI TU## 👍👍👍👍👍