Madenge Origino
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,847
- 1,096
Wana jamii natumai hamjambo.
Huyu Dkt Magufuli ana nafasi kumi (10) pekee za kuteua wabunge. Je, kuna mwenye taarifa ni wabunge wangapi so far kawateua?
Mimi Nawajua:
1. Tulia Mwansasu -Naibu spika wa bunge
2. Prof. Makame Mabarawa - Waziri wa maji na umwagiliaji
3. Dkt. Abdalla Posi - Naibu waziri ofisi ya waziri Mkuu
Kwa mwenye kujua zaidi naomba anijuze tafadhali.
Huyu Dkt Magufuli ana nafasi kumi (10) pekee za kuteua wabunge. Je, kuna mwenye taarifa ni wabunge wangapi so far kawateua?
Mimi Nawajua:
1. Tulia Mwansasu -Naibu spika wa bunge
2. Prof. Makame Mabarawa - Waziri wa maji na umwagiliaji
3. Dkt. Abdalla Posi - Naibu waziri ofisi ya waziri Mkuu
Kwa mwenye kujua zaidi naomba anijuze tafadhali.