Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Kila siku zinavyoendelea anazidi kudhoofika na harakati zake sio zile za mwanzo, amehemewa na sasa tunaona ndani ya kichaka wanatokeza mmoja mmoja kumnadi kaanza Mkapa mara kazuka Kikwete, mara kaibuka Makamba kuna mmoja yule kafupi anhaa Mwinyi karibu bado anapima upepo.
CCM oyee ,ha ha haa mmefulia !
CCM oyee ,ha ha haa mmefulia !