Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,312
salaam wakuu.
kama mh magufuli anapita humu jf naomba aje atukagulia hii barabara ya pamba road maana hawa jamaa sijui kama ujenzi wao upo sahihi,kwa macho yangu ya nyama naona ni mchezo japo si mtaalam wa haya mambo.
wamepiga viraka kila mwaka zaidi ya mara tatu inabomoka sasa hivi pale mbele ya kituo cha polisi kijipande kidogo tu wamepaki hapo magari na ujenzi umesisi week sasa na magari ni taabu tupu njia ya bugando ndio inatumika na wagonjwa wanapitishwa huko huko.
_chini ya mh magufuli uzembe huu haukubaliki na hauvumiliki.
kampuni ni JESCO...
_NB:Nakupongeza kwa daraja la mabatini na taa za buzuruga japo foleni ndio imezidi pale...
POMBE MAGUFULI HOYEEEE
kama mh magufuli anapita humu jf naomba aje atukagulia hii barabara ya pamba road maana hawa jamaa sijui kama ujenzi wao upo sahihi,kwa macho yangu ya nyama naona ni mchezo japo si mtaalam wa haya mambo.
wamepiga viraka kila mwaka zaidi ya mara tatu inabomoka sasa hivi pale mbele ya kituo cha polisi kijipande kidogo tu wamepaki hapo magari na ujenzi umesisi week sasa na magari ni taabu tupu njia ya bugando ndio inatumika na wagonjwa wanapitishwa huko huko.
_chini ya mh magufuli uzembe huu haukubaliki na hauvumiliki.
kampuni ni JESCO...
_NB:Nakupongeza kwa daraja la mabatini na taa za buzuruga japo foleni ndio imezidi pale...
POMBE MAGUFULI HOYEEEE