Magufuli Kachanganyikiwa

Magufuli Kachanganyikiwa

idoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
3,051
Reaction score
1,423
Hapo kabla alisema anazijua shida za wananchi na yupo tayari kuzitatua. Jana kasema atatumia usafiri wa gari ili ajue kero za wananchi. Teh!
DSC09638.jpg

Na pale jangwani alisema anashangaa miaka yote hamna kiwanda cha kusindika samaki, wakati yeye alishawahi kuwa waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi. Siasa bwana!
MGOMBEA nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anazijua shida zote za Watanzania hivyo, atasimama imara katika kuzitatua na kuweka wazi kwamba, kwa muda wa miaka 20 aliyokaa Serikalini hakuwahi kushindwa.

Shida ya kwanza ni Laptop kwa Walimu ambayo atahakikisha kila mwalimu awe primary au secondary lazima awe na Laptop.

Shida zingine zilishatatuliwa na Raisi kikwete na Maraisi wengine waliopita, yeye atakachokifanya ni kuendeleza tuu., yaani " Sitawaangusha hawa maraisi waliopita" Alisema Dr. J.P. Magufuri.

Dk. Magufuli aliyasema hayo jana, wakati akizungumza na wazee na wanachama wa CCM wa Mkoa wa Dar es Salaam, baada ya mapokezi yaliyofanyika kwa kurudisha fomu ya urais, huku akibainisha kuwa, atashirikiana na mgombea mwenza wake kuhakikisha wanatatua shida za Watanzania.
 
Hapo kabla alisema anazijua shida za wananchi na yupo tayari kuzitatua. Jana kasema atatumia usafiri wa gari ili ajue kero za wananchi. Teh!
DSC09638.jpg

Na pale jangwani alisema anashangaa miaka yote hamna kiwanda cha kusindika samaki, wakati yeye alishawahi kuwa waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi. Siasa bwana!

kwani waziri wa uvuvi kazi yake ni kujenga viwanda vya samaki?
 
Nipo MMU mkimaliza haya yenu mnijulishe ili tuanze safari pamoja.
 
kwani waziri wa uvuvi kazi yake ni kujenga viwanda vya samaki?

Kwani kazi ya rais ni kujenga viwanda? Anaweka mazingia ya ujengwaji viwada sio lazima awe yeye wa kujenga. Utafutaji soko ni pamoja na kuongeza value chain
 
ukiwa katika Helkopta utazijuaje km za Barabara za Tabnzania au kukutana na wapiga kura
IMG_0127.JPG

IMG_0073.JPG


Raha ya wapiga kura ni kusabahiana naa
IMG_0090.JPG
 
Mbona Lowassa Alisema Nae Anazijua Shida Na Kero Za Watz Lakini Sasa Hvi Anazurura Na Kujidai Anataka Kujua Kero Na Matatizo Ya Watz?Huyu Alikua Wazir Wa Mazingira Na Hakuwah Kupanda Daladala Wala Kwenda Kwa Mama Ntilie Kuangalia Mazingira Yao,leo Imekuaje?
 
kwani waziri wa uvuvi kazi yake ni kujenga viwanda vya samaki?
HILI NALO SWALI? Kweli hata Mkapa akitututkana anajua kwa nini. Sasa kazi ya waziri wa ujenzi ni nini kama sio kujenga?
Hebu totoleeni aibu humu nyie misisiemu mlioitwa wajanja msiokunywa viroba.
 
nauliza wanaccm wenzangu siasa za kugawa tishti na kofia tumeacha?wenzetu zakwao wanauza...........,staili ya kugawa pesa,matusi,na kuwabeba kwa magari haitatusaidia tena,tuwe na sera za kuleta maendeleo bila hivyo mwaka huu sijui?????
 
Wasanii bana mpeni chai maarage ya moto kama atakunywa huyo, ataungua na ndio mwisho wa kuzungukia mama ntilie.
 
ukiwa katika Helkopta utazijuaje km za Barabara za Tabnzania au kukutana na wapiga kura
IMG_0127.JPG

IMG_0073.JPG


Raha ya wapiga kura ni kusabahiana naa
IMG_0090.JPG

Hao wote wanaomshangilia na wanaompigia kura hawajawahi kuwa na maisha bora. Ni ndoto kwao.
Elimu ni muhimu sana.
 
kwani waziri wa uvuvi kazi yake ni kujenga viwanda vya samaki?

Hapana nadhani itakuwa kazi ya Rais anayoiomba maana ameonesha nia ya kujenga hivyo viwanda
 
Mbona Lowassa Alisema Nae Anazijua Shida Na Kero Za Watz Lakini Sasa Hvi Anazurura Na Kujidai Anataka Kujua Kero Na Matatizo Ya Watz?Huyu Alikua Wazir Wa Mazingira Na Hakuwah Kupanda Daladala Wala Kwenda Kwa Mama Ntilie Kuangalia Mazingira Yao,leo Imekuaje?

alibanwa na mfumo
 
Mbona Lowassa Alisema Nae Anazijua Shida Na Kero Za Watz Lakini Sasa Hvi Anazurura Na Kujidai Anataka Kujua Kero Na Matatizo Ya Watz?Huyu Alikua Wazir Wa Mazingira Na Hakuwah Kupanda Daladala Wala Kwenda Kwa Mama Ntilie Kuangalia Mazingira Yao,leo Imekuaje?


Umeongea vizuri sana Mkuu. Hata Mimi nilikuwa nashangaa hivyo hivyo.
 
Kwa kuwa alitueleza kwamba anazifahamu shida za watanzania angetakiwa atumie helikopta ili awawahi wananchi awaeleze atazitatua vipi shida zao. Sio kuleta bla blah hapa. Au anaogopa kuwafikia manake babu yake amewaita malofa?
 
Back
Top Bottom